Mibongo bana!
Yani badala ya kuhakiisha watuhumiwa wa ufisadi wanafikishwa makahakani kujibu tuhuma za uhujumu uchumi, badala ake eti mnapigiana kampeni kuwa ni nani atahakikisha analinda maslahi ya wastaafu mafisadi na kuwaacha wapunzike, huo ndo utaratibu wenu wabongo! Si mllimamwini JK? kuwa atawasghulikia mafisadi.
Acheni ujinga ndugu zangu wa ndoto za alinacha, EPA IMWINGIZE JK na CCM madarakani halafu mseme ataifuatilia, hii mambo ya banana republic noma!