Elections 2010 Slaa Akata Anga Morogoro

rev masanilo nishakula ndovu sijui kama nitaweza kuweka msisitizo niotaka. Kinana kakiri kuwa meli iliyokamatwa china ikiwa na meno ya tembo kutoka tanzania, ni mali yake kwa kumiliki hisa 7,500 kati ya hisa 10,000 za maeli hiyo. Sasa ni kwanini tuansumbuliwa kichwa na huyu mtekaji meli wa kisomali?

Watanzania kibao wako keko, segerea na ukonga kwa kukutwa na mali za wizi majumbani, ofisini katika magari n.k. Iweje majeshi ya kimataifa yakute mali ya iliyoibiwa tanzania katika meli ya ndg kinana na jeshi letu la polisi lshindwe kuchukua hatua za kufaa za kumuunganisha katika kesi hiyo kama wanayowafanyia watanzania wanokutwa na mali za wizi? Iweje huyu kikbaka wa kisomali aliyekutwa na nyara za tanzania alipopanga asihusishwe katika kesi hiyo? Hivi mwema kaenda likizo kipindi hiki nini?

unajua mengine msiseme tunaumia kweli, kama ni hivyo ccm mkamateni slaa na woote wanaowachafua wakajibu mashitaka! Hamuwezi uwizi wenu msipeleke kwenye kura tuchague raisi wetu wenyewe!!
 
Ccm na chadema wote wana fursa sawa ktk jimbo la ulanga magh.
  1. mgombea wa ccm hakubaliki 75% ya jimbo na ushahidi ni matokeo yao- tarafa za malinyi-na ngoheranga amepata kura 40, tarafa ya mtimbira-amepata takriban kura 3000, tarafa ya lupiro amepata kura zisizidi 200, alipingwa na mshindi wa pili yasin njayagha aliyemzidi kura 100 na pia mshindi wa nne-ngonyani aliyepata kura takriban 2100,tano dkt-mbwasi kura zisizozidi 300 na sita-kiyawike aliyepata kura takriban 150. Msindi wa kwanza mpaka wa tatu wametofautiana kwa kura zisizozidi 100. Ameshinda kwa kura za matawi matatu yaliyokiuka kanuni lakini kwa msaada wa ccm wilaya waliokuwa wana kazi moja tu nayo ni kumng'oa dkt ngasongwa. Tawi linapaswa liwe na wanachama wasiozidi 300 lakini ktk eneo alilozaliwa mgombea wa ccm matawi yalikuwa na wanachama zaidi ya 1000, kitu ambacho njayagha,ngonyani,mbwasi na kiyawike walikikatia rufaa, ktk hilo dkt. Ngasongwa alikubali yaishe na kukubali matokeo mapema licha kuombwa sana na wenzake wayapinge matokeo. Hili limeacha ufa mkubwa sana kwa ccm ulanga magh. Na sidhani kama wamelikiri jambo hili kwa ccm taifa.
  2. wagombea wa ccm na chadema wote wanatokea eneo moja, ikumbukwe kuwa waliompa ushindi mgombea wa ccm ktk maoni siyo wote ccm wengine ni wapinzani wa ccm walionunuliwa kadi ktk mkakati wa kumuangamiza ngasongwa.
  3. mgombea wa ccm alipata kura 40 ktk tarafa zenye ushawishi mkubwa ktk maamuzi ya uchaguzi kutokana na idadi kubwa wa wapiga kura tarafa hizo ni malinyi, ngoheranga, mgombea huyu alishindwa kupata kura zaidi mia tano ktk tarafa ya lupiro. Tathmini inaonyesha udhaifu mkubwa wa mgombea wa ccm na mpaka sasa amefanya kosa kubwa la kumkataa dr ngasongwa ktk kampeni zake wakati anatumia hoja zile zile za alizozipinga ktk kura za maoni wakati wa kura maoni, na ccm wilaya wanatumia taarifa ya utekelezaji ya dkt.ngasongwa 2005-10 sasa ktk kampeni kitendo kinachotafsiriwa na umma kama ni usaliti na usanii.
  4. ccm wilaya haitoi tathmini sahihi kwa wakuu wao kwa kujiamini kunakovuka mipaka ilhali hali ni tete.
  5. chadema wanayo fursa ya kuliteka jimbo hili kwani kura nyingi za wanaccm na wasio wana ccm na wale mamluki waliotumika ktk maamuzi ya maoni endapo watamsaidia mgombea wao
  6. mgombea wa chadema ana nguvu, anaaminika yeye na sasa anapata nguvu na imani zaidi kupitia chadema, wanachopaswa kufanya ni kuweka kambi na kumsaidia prof.mlambiti ktk kipindi chote cha kampeni.
  7. ccm wanapaswa kuwapatia wilaya ulanga magh., umeme, barabara ya songea na daraja la kilombero wakiyafanya haya wako salama. Na haya akayatamke jk au dr.bilal au mzito yeyote ktk rank ya wastaafu, kinyume cha hapo natabiri uchaguzi mgumu kutokea mkoani morogoro kule ulanga.
  8. njayagha,ngonyani, mbwasi ,kiyawike na hasa dr.ngasongwa bado wanatakiwa waende wakamtetee haj mponda kama wanataka ushindi wa ccm, kwani kila mtu ktk hawa ana watu na ni majeruhi wa kura za maruhani zilizompa ushindi haj mponda.
uchaguzi mwema wana ulanga magharib.
 
Back
Top Bottom