Slaa afunika Karagwe

Slaa afunika Karagwe

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amepokelewa kwa shangwe na Wananchi wa Karagwe. Msafara wa Dr. Slaa ulikuwa na magari yapatayo 50 na pikipiki zaidi ya 80. Dr.Slaa yuko Wilayani Karagwe kwa ajili ya kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA kutoka Tanzania Bara na Visiwani. Mafunzo hayo yataanza kesho tarehe 22 hadi 23 Nov 2012. Picha zitakuja soon kuna shida ya Matandao kidogo
 
Ngoja aje TUNTEMEKE aka mtela uone jinsi atakavyochafua hali ya hewa.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amepokelewa kwa shangwe na Wananchi wa Karagwe. Msafara wa Dr. Slaa ulikuwa na magari yapatayo 50 na pikipiki zaidi ya 80. Dr.Slaa yuko Wilayani Karagwe kwa ajili ya kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA kutoka Tanzania Bara na Visiwani. Mafunzo hayo yataanza kesho tarehe 22 hadi 23 Nov 2012. Picha zitakuja soon kuna shida ya Matandao kidogo

Hongereni sana wana karagwe. Tuwaoneshe watanzannia wengine tulivvyotayari kwa mageuzi.
 
Hii taarifa haina maana yoyote labda ingia zaidi ndani tunaweza kupata kitu cha kuchangia!!!!
 
Amefunika nn acheni uongo kwa mvua iliyopiga hata magari yalishndw kutembea labda alipanda punda
 
Amefunika nn acheni uongo kwa mvua iliyopiga hata magari yalishndw kutembea labda alipanda punda

Afadhali Mkuu wewe umekuja na hoja ambayo inaweza kuchangiwa,nimemuuliza mkuu mtoa hoja lakini naona amesepa,unajua mtu muongo na mwenye propaganda utamgundua tu kwenye matamshi yake,unaona sasa umemuumbua?lakini hata hivyo kuwa makini wataanza kukupa za usoni sasa hivi kwa sababu hawachelewi kufanya fujo na hasa pale unapokwenda kinyume na wanavyotaka ama kudhani,hata hivyo tuko nyuma yako tutakusaidia kuwatuliza.
 
Malmaka ya hali ya hewa pale ubungo plaza gorofa ya kumi
 
Mageuzi gani unayozungumzia wewe?????!!!!!

Mara nyingi ujizuia kuwajibu lakini kwa kuwa swali lako lina qn mark nyingi na alama za mshangao ni ishara tosha huko tayari kwa ku-confront in any way possible. Tabia hii siyo nzuri hata kidogo.

Kwa taarifa yako watanzania hawatishiwi nyau na siasa chafu za wizi na ufisadi-by 2015 siasa chafu zitageuzwa kuwa safi; mahakama zitatenda haki kwa kuwahukumu waliomua Mwangosi, pesa zilizo Uswiss zitarudishwa; wahusika wa Richmond na Epa watawajibishwa... mageuzi in every sector...
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amepokelewa kwa shangwe na Wananchi wa Karagwe. Msafara wa Dr. Slaa ulikuwa na magari yapatayo 50 na pikipiki zaidi ya 80. Dr.Slaa yuko Wilayani Karagwe kwa ajili ya kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wenyeviti na Makatibu wote wa Mikoa wa CHADEMA kutoka Tanzania Bara na Visiwani. Mafunzo hayo yataanza kesho tarehe 22 hadi 23 Nov 2012. Picha zitakuja soon kuna shida ya Matandao kidogo

He is the president of this country; especially in my heart
Ndiye rais wa Tanzania, hasa moyoni mwangu
 
Kaenda kufungua mafunzo au kapeleka posa ukweni?
 
Amefunika nn acheni uongo kwa mvua iliyopiga hata magari yalishndw kutembea labda alipanda punda

Una akili wewe! hizi ndio mbinu za Kinena nini!? anaeogopwa na Kibanda TZ Daima!

Nyambaf zenu, jiandeni kuua watu tu hamtoki this time!!
 
Acha CCM wakashif wawezavyo. Mimi napata taarifa live toka Karagwe. watu watatu wameshindwa kunitumia picha ili niweke. Natumaini kufika kesho tutakuwa na picha hapa. Mafunzo hayo yanaenda sambamba na mkutano wa mashauriano ya mkoa wa Kagera ambapo mh. lwakatale atakuwa wilayani humo kwa siku nne hadi 25/11/2012. Mkytano huo wa mkoa una wajumbe wasiopunguaa 100.

hadema Vema.
 
Back
Top Bottom