Jamaa anachaji 10%Aisee unanyonya sana watu yaani kwa kua una laini ya Safaricom ndio uweke fee kubwa hivyo. Punguza kiasi tufanye miamala.



NALA una link vipi na Skrill mkuu?Tumia NALA itakusaidia...
download app tumia...NALA una link vipi na Skrill mkuu?
Boss unaifahamu Skrilldownload app tumia...
umeanza itumia lini hiyo? na app mwenza ya skrill una tumia pia?Boss unaifahamu Skrill
Kwenye exchange hela inapungua, kumbuka hela inakufikia kwa TZS, fee yangu maelewanoYan kwenye 500 uachiwe 30...bado skrill wacharge tena 3%...
Acha wizi wenzako wanazinunua hizo bila charges zozote labda hiyo % ya skrill, tena kwa rate ya 2300.
Nani ananunua bila charges mkuu, maana mimi natoaga skill kwenda bitcoins ndo naingiza tigo pesa.Yan kwenye 500 uachiwe 30😄...bado skrill wacharge tena 3%...
Acha wizi wenzako wanazinunua hizo bila charges zozote labda hiyo % ya skrill, tena kwa rate ya 2300.
2017umeanza itumia lini hiyo? na app mwenza ya skrill una tumia pia?
hongera...2017