Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
demographical factors za constraits may be superior to kenya and tanzania, but inawezekana ukaribu wao na SA ndio factor kubwa.
halafu ina maana huyu waziri tayari anajua matokeo ya kesi ya uhuru na ametoa statement inayomlenga uhuru. get this: tatizo ni kuwa he is aiding to popularize the icc speculation na sio the rule of law. ikiwa anaelewa sheria ingembidi kufunga mdomo mpaka bensouda atakpokamilisha a full hearing. the truth of the matter kama walivyo wapumbavu viongozi wengi afrika na kusahau kufanya someone else bidding.
ninachojua ni iCC imepigwa bao na huenda kusiwa na kesi
kama anaelewa maana ya rule-of-law, asingetoa kauli kabla ya ICC kufanya a full prosecution.
....ina maana ICC agenda inakuwa rehearsed na mataifa mengi afrika ndio izidi kumanufucture ushaidi potovu. kwa ufupi ni afrika sasa ukweli utatambulika ni mataifa gani yanjitawala na yapi yanaongozwa na vibaraka.
ina any case madini ya botswana imewekwa kwenye hazina ya wakoloni,..
bodi ya utalii kenya yawaomba nchi za magaribi kuwatowa wasi wasi wananchi wao kuhusu kutembelea kenya.ALAFU WEWE UNAKUJA KUJIGAMBA HUMU JF ETI MNAWEZA KUJIENDESHA WENYEWE.KWA UCHUMI GANI MLIONAO.UCHUMI WENU UNATEGEMEA UTALII NA MAZAO YA KILIMO,HAYA HAYO MAUA UTAYAUZA OTHAYA,CHAI UTAZITAFUNA? POOR POLITICAL GOON.