[size=8]kama upo mwanza. Ninakiwanja nakiuza[/size]

[size=8]kama upo mwanza. Ninakiwanja nakiuza[/size]

Ukubwa wake (Up X Ur) usifanye siri, weka hadharani tufanye maamuzi!
 
Mbona tangazo la kiwanja haukutuomba namba za simu? Ukatutumie sms? Toa hadharani bei ili tushindanie sio nije unidanganye mwenzio alifikia sh milioni kumi nikamnyima ili upandilie vizuri.
 
wewe mheshimiwa usilete utapeli,kiwanja unachotaka kuuza sio chako,nakifahamu.
 
Hiyo biashara ya ubabaishaji umesema mwenyewe una kiwanja unauza kusema unauza bei gani mpaka tukutongeze? Puuumbavu nunua mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom