Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Sidhani kama nchi hii iliasisiwa na Nyerere peke yake na kwa kweli nchi hii haikujengwa na Nyerere peke yake katika miaka hiyo 60 iliyopita.
Lakini kabla ya hapo tulikuwa na baadhi ya machifu wetu na makamanda mashujaa kabisa akina Kinjekitile Ngwale, Abushiri, Kimweri na wengine ambao walipambana na ukoloni.
Leo hii almost kila mradi mkubwa unapewa jina la mwalimu ina maana Taifa hili lina uhaba wa heroes wa kuwaenzi?
1. Campus ya Mwalimu Nyerere
2. Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere
3. Chuo cha Mwalimu Nyerere
4. Barabara ya Mwalimu Nyerere
5. Ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Mwalimu Nyerere
6. Daraja la Mwalimu Nyerere
7. Viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere
8. Na leo bwawa la umeme linalojengwa litaitwa Bwawa la Mwalimu Nyerere
Tunampenda Mwalimu lakini tukumbuke nchi hii ina mashujaa wengi, Hebu tuanze kuenzi na wengine pia
Lakini kabla ya hapo tulikuwa na baadhi ya machifu wetu na makamanda mashujaa kabisa akina Kinjekitile Ngwale, Abushiri, Kimweri na wengine ambao walipambana na ukoloni.
Leo hii almost kila mradi mkubwa unapewa jina la mwalimu ina maana Taifa hili lina uhaba wa heroes wa kuwaenzi?
1. Campus ya Mwalimu Nyerere
2. Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere
3. Chuo cha Mwalimu Nyerere
4. Barabara ya Mwalimu Nyerere
5. Ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Mwalimu Nyerere
6. Daraja la Mwalimu Nyerere
7. Viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere
8. Na leo bwawa la umeme linalojengwa litaitwa Bwawa la Mwalimu Nyerere
Tunampenda Mwalimu lakini tukumbuke nchi hii ina mashujaa wengi, Hebu tuanze kuenzi na wengine pia