Sixtus Mapunda Mbunge wa Mbinga nae amwandikia barua Spika kudai uchuguzi madai ya rushwa

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
image.jpeg
 
Hizi ni swaga tu za wanasiaswa dawa tuwe sheria ya kunyonga mafisadi na majizi.Tujiulize hii tuhama kwa wabunge ndio zimeanza leo?Zilizopita ziliishia wapi?Leo wataandika,tutajadili baada ya mda kimya.Business as usual!
 
Barua, barua,barua. Hivi sheria ya kupambana na rushwa sii IPO? Kwanini haitumiki kuwapeleka mahakamani wahusika? Bunge linatumia polisi na gharama kubwa kumkamata na kunsafirisha Mbunge wa upinzani aliyekosa kuhudhuria wito wa kamati ya kinga na maadili ya bunge lakini walarushwa wa ccm inawabembeleza.
Kwa nini mahakimu wa mahakama za mwanzo, traffic, ma nesi na wengine ambao wanalipwa chini ya 10% ya wabunge wasiendelee kudai rushwa?
 
Hii inatupa picha mbaya zaidi maana ndani ya mwezi tayari rushwa imejaa bungeni
 
amejibu ki APEDOMIA APEDOMIA.....
UKISOMA HOJA NAMBA MBILI.....ANAPONDA AMA ANADHOOFISHA JUHUDI ZA RAIS WETU KWA MLANGO WA NYUMA.....
 
Mimi hua nasema nchi hii haikuoza kwa mda wa siku moja ni miaka zaidi ya 20.Magufuli bado anakazi kubwa sana kuwarudisha watu katika mstari unaofaa na itachukua mda mrefu si leo au kesho.
 
Back
Top Bottom