Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 61
afungua mashina ya vijana wa CCM jimbo zima,,,awahasa vijana na Wanaarusha kutorudia makosa,nijukumu lao kuchagua mtu anaetafuta makosa ili alalamike ama kuchagua anaetatua makosa ili wapate maendeleo
asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,
lasivyo 2015 kichapo.."
asema ;"yakowai mabwawa yasamki ambayo Lema aliahidi kwa vijana? na mitaji yakupata leseni za utalii?,,kasahau sasa anabaki analalamika tu serikali ya CCM kumkwamisha, kwani wakati anaahidi ili mumchague hakujua kuwa CCM itashinda zaidi?asitafute sababu,,mwambieni atekeleze ahadi zake,,
lasivyo 2015 kichapo.."