kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
aliwasili hapa igunga jana jioni na kuhutubia vijana ktk mkutano wa hadhara baada ya kufunga mashindano yao ya mpira wa miguu na kutoa zawadi kwa washindi bora
akauliza
nasikia kunamwanadada alipita hapa
vijana;ndio,halima mdee
alisemaje;tusiichague ccm wala tusijenge mahabara
six;nyie mnaona ni sawa?
vijana;hapana,tumzomeeni halima ohhhh hoooo hooo,kwanza ukawa wenyewe walisema watasimamisha mgombea mmoja lakini kila chama kimesimamisha mgombea
six;ebu rudieni tena kumpa zawadi halima;
vijana;ohhhhhh halima mzushi ohhooooo hoooo
hizi ndio picha za matukio
Mbona haujalielezea lile tukio la gali la matangazo la CHADEMA lilipopita huku mechi ikiendelea wananchi walifanya nini? labda nikukumbushe tu baada ya gali lile kupita wananchi wote waliozunguka uwanja huo waligeuka huku wakionyesha ishara ya vidole viwili na kupiga mayowe ya Peeplees.