Kuna kitu nimekigundua kuhusu hawa watu wa Tabora kwa ujumla,sijui wana akili gani au ni nani amewaroga?nakumbuka ile siku ambayo fisadi bilionea anayeitwa Rostam Aziz alikuwa akitangaza uamuzi wake wa kujiuzulu nafasi zote kuanzia ubunge hadi za chama eti kulikuwa na mpumbavu mmoja,tena mtu mzima na bila shaka nyumbani anaitwa baba,eti aliamua kuangua kilio hadharani?aisee yule mpumbavu alinichefua mpaka basi na huwa napatwa na hasira kila ninapokumbuka lile tukio,kweli huko Igunga kuna mazezeta kupita kiasi.