sennydonny
Member
- Nov 17, 2013
- 11
- 0
Jamani mm najishangaa Siwezi kutongoza, naombeni msaada..
Usiogope mdogo wangu,unajua kutongoza ni sanaa kama sanaa nyingine, unachotakiwa kujua ni kwamba sio lazima uwe msanii ili uweze kutekeleza sanaa,unaweza kulipa wasanii wakakufanyia sanaa,lipa watu wakutongozee.
Pia inaonekana bado uko chuoni/shuleni, subiri kwanza umalize shule ndio ujikite kwenye hayo mambo. tafuta pesa wanawake watakuja wenyewe wala hutahangaika kutongoza,watajitongozesha wenyewe.
Pole sana .
Usiogope, kwa lidunia la leo wala hutahitaji kwenda skuli kujifunza hayo maneno wala hutahitaji kuja humu jf. Piga pamba saafi, tembea ka mtu anayejua anako kwenda, ukiwaona wale opposite sex, jifanye ipo bizze kinyama na kuwa huwaoni. Kesho tu utaona wanaanza kudondosha pen, kitambaa cha mkono. Kiinue, mwite mwambie; "Dada umeangusha kitambaa". Akipokea tu, mguse mkono shika kidole, tayari umeshamaliza shule ya kutongoza. Kwa heri. Mafunzo zaidi ni gharama, lazima utulipe
Jamani mm najishangaa Siwezi kutongoza, naombeni msaada..
Duuuuh!
Jamani mm najishangaa Siwezi kutongoza, naombeni msaada..