Aaron JF-Expert Member Joined Nov 18, 2010 Posts 3,019 Reaction score 4,695 May 26, 2012 #1 kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance
Bitende Member Joined Aug 20, 2011 Posts 33 Reaction score 6 May 26, 2012 #2 Ujumbe wa dr.silaa jangwani
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 19,968 Reaction score 23,981 May 26, 2012 #3 Kweli kabisa kuna haja kufuta posho zote za vikao serikalini na mashirika umma!!ni aibu sana!
A Aristides Pastory JF-Expert Member Joined Feb 7, 2012 Posts 348 Reaction score 60 May 26, 2012 #4 Kweli kabisa... Yaani! Huku ni kutumia rasirimali za watanzania kwa manufaa ya wachache.. #WASHINDWE.
Kweli kabisa... Yaani! Huku ni kutumia rasirimali za watanzania kwa manufaa ya wachache.. #WASHINDWE.
H hans79 JF-Expert Member Joined May 4, 2011 Posts 3,800 Reaction score 431 May 26, 2012 #5 ipo sawa, unangezaje idadi ya mawaziri bila kujali gharama?
Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 811 May 26, 2012 #6 Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... Polisi mkuu sio trafick
Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... Polisi mkuu sio trafick
Bado Kidogo 2015 JF-Expert Member Joined May 24, 2012 Posts 207 Reaction score 78 May 26, 2012 #7 Nadhani polisi watakuwa wamechekelea sana kusikia kauli hiyo.
STK ONE JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 627 Reaction score 184 May 26, 2012 #8 Nimeipenda sana hii kutoka kwa Dr. Slaa, wa ukweli kbisa....!!!!
M Mnyonge Namba1 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2012 Posts 402 Reaction score 81 May 26, 2012 #9 Bado Kidogo 2015 said: Nadhani polisi watakuwa wamechekelea sana kusikia kauli hiyo. Click to expand... Hata kama wanachekelea policcm hao,wakiamriwa kutupiga wanatupiga bila kosa tena kikatili sana.Rejea Arusha,Songea,Mwanza,Kiwira nk
Bado Kidogo 2015 said: Nadhani polisi watakuwa wamechekelea sana kusikia kauli hiyo. Click to expand... Hata kama wanachekelea policcm hao,wakiamriwa kutupiga wanatupiga bila kosa tena kikatili sana.Rejea Arusha,Songea,Mwanza,Kiwira nk
Tuyuku JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 3,292 Reaction score 1,935 May 26, 2012 #10 Nimeipenda sana hoja hiyo.
Mlitika JF-Expert Member Joined Mar 23, 2012 Posts 457 Reaction score 260 May 26, 2012 #11 Halafu polisi yalivyo mazezeta yakiamriwa na mabwana zao yanawaua watetezi wao hawa! Hawa jamaa kweli hamnazo.
Halafu polisi yalivyo mazezeta yakiamriwa na mabwana zao yanawaua watetezi wao hawa! Hawa jamaa kweli hamnazo.
C.K JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 394 Reaction score 166 May 26, 2012 #12 Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... mmh!!!.., i see!!
Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... mmh!!!.., i see!!
Tume ya Katiba JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 4,896 Reaction score 1,866 May 27, 2012 #13 Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... Muulize kwanza mbona wanachukua maandamano allowance?
Aaron said: kama tunalipa wabunge sitting allowance basi trafiki na walimu walipwe standing allowance Click to expand... Muulize kwanza mbona wanachukua maandamano allowance?