Haya sasa Mzee mzima anaweweseka na limechwea.
JK noma na anaelewa michezo ya kisiasa.Mwamemweka sawa mzee wa watu akidhani kapata pakutengenezea CV ya Uraisi 2015 kumbe wenzake wametega na akaingia kingi.
Na ili adhalilike sawa sawa wataacha hili Bunge liishe kifo cha kawaida;siku zitaisha na akidi haitafikiwa na mwisho ni fault ya Kisheria.
Lawama kwa nani kama si Mwenyekiti aliyekosa Busara!