Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,692
- 164,963
Katika kuonyesha kuwa wamedhamiria kuendelea na mchakato huo wa katiba,mh.Sitta amesema wajumbe wataanza kupiga kura kupitisha ibara za rasimu ya katiba kuanzia tarehe 26 na kwa wale wajumbe watakaokuwa nje ya nchi utaratibu unafanywa kwa kuwasiliana na balozi husika ili kuwawezesha wajumbe hao wapige kura hata kama watakuwa nje ya nchi.Na hapa aliwalenga wanaokwenda kuhiji na walioko India kwa matibabu.
Ninachojiuliza ni je sheria za bunge hilo zinaruhusu upigaji kura wa aina hiyo?Na kama ndio, mabadiliko hayo ya sheria na kanuni hizo yalifanywa lini?
Ninachojiuliza ni je sheria za bunge hilo zinaruhusu upigaji kura wa aina hiyo?Na kama ndio, mabadiliko hayo ya sheria na kanuni hizo yalifanywa lini?