Sitta awasimamisha Watendaji watano TRL

Sita chapa kazi, baadhi yetu midomo hata kusafishwa na maji kwa kusukutua hawathubutu, imevunda hata akili zao zipo hivyo.
Mabadiliko tunayo yataka ndo hayoooo, hakuna kumwonea haya mzembe ye yote, timuatimua hadi tufike tuendako.
 
Sita&co(ccm) wanatulaghai gawana lolote. Mbona aliyeleta hayo mabehewa hafikishwi mahakamani au kuwekwa kizuizini. Kwani ile sheria ya kuzuia wakora imeshafutwa?
 
Waziri wa Uchukuzi, Samweli Sitta. amewasimamisha watendaji watano wa Kampuni ya Reli Tanzania akiwemo Mkurugenzi mtendaji, Kipallo Kisamfu, ili kupisha uchunguzi wa ununuzi wa mabehewa ambayo mengi yanadaiwa kuwa ni mabovu na kufanya malipo ya manunuzi kinyume na makubaliano.


Aidha, Sitta amemrudisha Idara ya utumishi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, TPA, Madeni Kipande, baada ya kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa zikimkabili za uendeshaji mbovu wa bandari.

Embu tusaidieni huyu aliyeibua hilin sakata la mabehewa feki yupo hai ama manake kamwagia kitumbua cha watu mchanga.
 
Back
Top Bottom