Ndio nashangaa lini amekuwa msafi kuwaona wenzie wachafu.
Hongera Samuel Sitta. Hakika wewe ni mzee wa speed and standard
Waziri wa Uchukuzi, Samweli Sitta. amewasimamisha watendaji watano wa Kampuni ya Reli Tanzania akiwemo Mkurugenzi mtendaji, Kipallo Kisamfu, ili kupisha uchunguzi wa ununuzi wa mabehewa ambayo mengi yanadaiwa kuwa ni mabovu na kufanya malipo ya manunuzi kinyume na makubaliano.
Aidha, Sitta amemrudisha Idara ya utumishi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, TPA, Madeni Kipande, baada ya kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa zikimkabili za uendeshaji mbovu wa bandari.
Embu tusaidieni huyu aliyeibua hilin sakata la mabehewa feki yupo hai ama manake kamwagia kitumbua cha watu mchanga.
Mkuu jamaa amefariki ijumaa ya tarehe 17/4/2015 RIP Kihwele
Weka chanzo cha habari yako