Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
mimi pia naungana aliyeleta mada kuwa sitta ataumbuka maana mwakyembe amesema bado uchunguzi unaendelea so polisi na sitta wote wanyamaze hadi mwisho tujue jibu la mwisho ktk uchunguzi wa mwakyembe
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Nikama Rushwa haina ushahidi maranyingi mnapeana kwa kujificha!Wewe huwezi kugeuza gimbi liwe ndizi ni bora ukawa kimya!Kwa uongo aliouweka kwenye vyombo vya habari< tuleteeni ushahidi wa mwakyembe kupewa sumu!
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Hili jamaa ni likilaza aiseee....sijui gamba koko....kaumbuka sitta au umeumbuka wewe?
Kwa uongo aliouweka kwenye vyombo vya habari< tuleteeni ushahidi wa mwakyembe kupewa sumu!
Kwenda shule ni kwa mujibu wa sheria, lakini kuwa na akili ni majaaliwa.Taarifa ya mwakyembe kutoka kwenye vyombo vya habari ikinukuu taarifa toka hospitali ya appollo
"taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa"
Kwa kiswahili rahisi kabisa ni kwamba bado madaktari hawajagundua chanzo cha tatizo alilonalo mwanyembena wala mwakyembe hajathibitisha kulishwa sumu tofauti na SITTA anavyotaka wananchi waamini kwamba mwakyembe alilishwa sumu, huu ni ushahidi wa siasa za maji taka za mweshimiwa samweli sitta.
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Mytake: Tujihadhari na taarifa za uzushi zisizo na uthibitishoi wa kutosha
Mr Kilasara, mmoja wa WanaJF, ameniarifu pia ameandika thread inayohusu Polisi kutochunguza allegations za viongozi kutiliana sumu; na pia DCI kukanusha bila sababu za msingi kwamba Harrison Mwakyembe amelishwa sumu. Naitafuta hii thread niisome, lakini siipati.
Imefutwa pia?
Kama imefutwa, basi JF imeingiliwa au inapoteza umaarufu wake kama "great thinkers".