Sitta amwaga radhi TBC1

Alikuwa mkurugenzi wa Tanzania Investment Centre,IPTL...etc. zote zilibarikiwa nae!!...be careful guys!
 
tumechoka na wanaojiita wapambanaji na ufisadi, kabla yeyote hajachangia ni vema angetuambia je yeye ni msafi kiasigani? tangu akiwa waziri wa ujenzi, mkuu wa cda, mkuu wa TIC nk. na je anamiliki nini na anafanya biashara gani? WATANZANIA TUZUNDUKE, TUTAKUWA TUNATUPIWA CHANGA LA MACHO KILA KUKUCHA KWA KUPENDA KUSIKIA KILE TUNACHOTAKA KUSIKIA
 
Huyu jamaa ni kama vile mpinzani, nadhani JK alikosea kumpa uwaziri maana saizi amejenga ufa mkubwa sana ndani ya chama kutokana na tabia yake na tabia imeambukiza wengine hivyo kuongeza hali tete kwa CCM, wakati huo CDM wakikenua meno.

Huwa sina tabia ya kutukana lakini wewe nimeshindwa kujizuia.......$%%%%%%%%%%%%"""2&&&&&&&777
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…