DahHaswa,,,na hata siku ya kurudi Tanzania huwa hatuagani,,
Hao hao watanzania wenzetu watakuchorea picha upokonywe pesa na vitu vyote na police wa mchongo.
Ipo siku moja,,nipo kwenye bus narudi Tanzania..
Walisimamisha bus police njiani,wakamshusha mtanzania mmoja,,wakamchukulia rands kibao na simu zaidi ya 30.
Mimi nipo humo kwenye bus napumulia masikio.
Uzuri walimfata yeye tu,,ndy walitonywa ana pesa na mizigo anakwenda Tanzania..
Tatizo police wao wengi ni majambazi.
Jumatano free PepsiNshaandaa pop corn za laki na nusu
Aha unatembea na meli siyo ..mimi nikitaka kuwa baharia unanisaidiaje sasa mkuu..nizamie nchi za ng'ambo uko..Now nipo bongo mkuu,,lakini napiga melini kwa sasa.
Nasubiri corona ipunguwe,,,niitoke.
Hizo ni sawa na shi ngap za madafu mkuu?Maisha ya bondeni kama ulikuja kutafuta life unaweza kuwa na roho mbaya ambayo uwezi kuwa nayo ulipotoka.kuona watu wanakufa mbele yako ni jambo la kawaida.
Wizi kwenda mbele yani michomoko usiseme.
Hapa baada ya kupiga mchomoko
View attachment 1705307
Sio kwl Mkuu,,Tulizo panga kwa mafungu zilikuwa randi 200 x 10 =2000
Sawa laki tatu na kitu .2000x30=60000 ni sawa na milioni 9 na kitu
Mimi sio BAHARIA wa inchi kavu mkuu,,ni sailor..Aha unatembea na meli siyo ..mimi nikitaka kuwa baharia unanisaidiaje sasa mkuu..nizamie nchi za ng'ambo uko..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app