Sitosahau Siku Nilipoamua Kupima VVU

Sitosahau Siku Nilipoamua Kupima VVU

Amigo leo vya Chuga vimepanda
Yaani HIV tu ndio unapiga mayowe kiasi hiki mkuu..!!
Je ingekuwa COVID-19..??
Je ingekuwa Hepatitis B..??
Mkuu, ebu tuliza mtego huo. Mbona watu wana HIV+ na wanakula shudu kama kawaida plus bata na maisha yapo mukide.....
 
Mara ya mwisho kupima HIV ilikuwa 2012, hapo ni baada ya kuumwa sana kila nikicheki vipimo sioni ugonjwa. Ikabidi bi mkubwa abonge na daktari pasipo mimi kujua. Majibu yametoka naambiwa "bahati yako hauna wadudu"
Kwa kweli kama wangeniambia mapema hata nisingekubali kupima.
 
Yaani HIV tu ndio unapiga mayowe kiasi hiki mkuu..!!
Je ingekuwa COVID-19..??
Je ingekuwa Hepatitis B..??
Mkuu, ebu tuliza mtego huo. Mbona watu wana HIV+ na wanakula shudu kama kawaida plus bata na maisha yapo mukide.....

😂😂😂😂
 
Kumbe mtu unaweza umwa HIV kwa hisia na ukapata dalili zote ,, aisee ,,, inafikirisha

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Back
Top Bottom