Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Amigo leo vya Chuga vimepanda 

Yaani HIV tu ndio unapiga mayowe kiasi hiki mkuu..!!
Je ingekuwa COVID-19..??
Je ingekuwa Hepatitis B..??
Mkuu, ebu tuliza mtego huo. Mbona watu wana HIV+ na wanakula shudu kama kawaida plus bata na maisha yapo mukide.....


