Sitopenda tena...

Sitopenda tena...

mkuu hlo tatzo sio la kwanza kwako nnaijua tiba, nipe namba yake ya simu ,,,,,tatzo lake litaisha kabsaa na utampenda tna
 
Kauli hizi sa sito penda tena huwa zinakuwa hazina ulazima ni bora hata useme sitosahau

Uwa napenda niwafahamu watu kama wwe siku nione unavo imeza kauli yako

Any way pia pole kwa mkasa huo
 
Let it go men.Umenikumbusha mbali.Hiyo ndio transformation stage ya ununda wa mapenzi.Baadae utawaliza wengi.
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.
Mmmh pole sana
Sio bure demu anamdudu.
 
Mchungaji ukimpelekea mwanamke ni sawa na kumpeleka mbuzi kwa muuza supu akuzuilie. Mifupa ukiikuta bahati yako
 
Tatizo mnapenda Akina Kim mtawaweza wapi msotafuta kina gigy money
 
Wengine wametumwa duiani kwa shughuli iyo. Labda ulipenda mtu mwenye agizo la kuharibu hatima za wanaume throuh sex. Mkuu nenda kaombewe!
 
Ni mchakato tu wa maisha, sahau na songa mbele, utamsahau na utapenda tena
 
Utapenda tu mazee mbona mambo ya kawaida hayo.Wanawake wazuri watatakwa na kila mtu.ukilijua hilo halitakusumbua kama utaamua kuwanao na kama unazama mapenzini na kufanikiwa kujinasua shukuru Mungu kwan wengine huoa kabisa na kuja kujuta baadae
 
  • Thanks
Reactions: iw8
Huo ndio ukomavu pamoja na experience ya kwenye hausiano.
Changamoto ni sehem ya maisha, na usije ukasema kwamba kwakua ulichomwa na mwiba wa samaki, basi hauto kula samaki tena.
Lakufanya.....
Kwakua tayari umesha achana na huyo alie kuumiza, anza moja na tafuta mwingine ambae utaona amekupendeza na anafaa. Kumbuka wapo wengi ambao wana penda kwa dhati na wenye nia ya dhati yenye kujenga.
 
Bado una mawasiliano nae aisee kama namba ya. Simu account ya. Jf Instagram au Facebook
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom