Sitopenda tena labda dunia iwe pembe nne.

Sitopenda tena labda dunia iwe pembe nne.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
Habarini wana-JF wenzangu!!!
Kwanza namshukueu Manani kabla ya yote.
Na bila kuchelewa Naenda Kwenye mada yangu.

Kuna binti nampenda sana yaani sana mpaka naumwa.
Na binti mwenywe mweupe,sura nzuri yaani penye watu 10 lazima watu Tisa wageuze shingo kumtazama.
Yaani missi zaidi ya Diana Lukumai wa Tanzania.

Huyu Binti nilianza kumtongoza tangu mwezi wa tatu hadi mwezi huu kumi na 2.
Ila hanielewi.
KUMBUKA:BINTI NI MUHITIMU KIDATO CHA NNE MWAKA HUU-2016
Ila wazazi wake ni Waathirika la Ugonjwa wa kunywa dawa kila siku na masharti ya ugonjwa lazima umeze kidonge kila siku.
Isipikuwa yeye na mdogo wake ni wazima lakini sina hakika.

Huyu binti akiwa na shida hunifuata na akiwa na rafiki yangu ambaye ananisaidia kumshawishi awe na Mimi huwa ananiambia "amekubali" ila nikiwa na yeye wala haoneshi ile hali ya kunipenda.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi mpaka basi kikubwa binti nampenda yeye hanipendi na nimeonesha kila dalili ya kumpenda hanielewi je nifanyeje.

Bora niwe pekee yangu.
0d5f473e61ce1b2e36da322e46d5fe5e.jpg
 
M
Habarini wana-JF wenzangu!!!
Kwanza namshukueu Manani kabla ya yote.
Na bila kuchelewa Naenda Kwenye mada yangu.

Kuna binti nampenda sana yaani sana mpaka naumwa.
Na binti mwenywe mweupe,sura nzuri yaani penye watu 10 lazima watu Tisa wageuze shingo kumtazama.
Yaani missi zaidi ya Diana Lukumai wa Tanzania.

Huyu Binti nilianza kumtongoza tangu mwezi wa tatu hadi mwezi huu kumi na 2.
Ila hanielewi.
KUMBUKA:BINTI NI MUHITIMU KIDATO CHA NNE MWAKA HUU-2016
Ila wazazi wake ni Waathirika la Ugonjwa wa kunywa dawa kila siku na masharti ya ugonjwa lazima umeze kidonge kila siku.
Isipikuwa yeye na mdogo wake ni wazima lakini sina hakika.

Huyu binti akiwa na shida hunifuata na akiwa na rafiki yangu ambaye ananisaidia kumshawishi awe na Mimi huwa ananiambia "amekubali" ila nikiwa na yeye wala haoneshi ile hali ya kunipenda.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi mpaka basi kikubwa binti nampenda yeye hanipendi na nimeonesha kila dalili ya kumpenda hanielewi je nifanyeje.

Bora niwe pekee yangu.
0d5f473e61ce1b2e36da322e46d5fe5e.jpg
mkuu usiwe king'ang'anizi huyo binti atakuwa na yeye ni muathirika ila anakuficha hataki kukuangamiza. Nyie ndio baadae mnakuja kulalamika hapa kuwa binti kakuambukiza ugonjwa alikuficha mwabzo. Achana naye anakuokoa wewe
 
tatizo unafikiri huwezi kumpata kama huyo au zaidi yake ndio maana unashindwa kumpotezea

ila amekugeuza kitega uchumi
 
Habarini wana-JF wenzangu!!!
Kwanza namshukueu Manani kabla ya yote.
Na bila kuchelewa Naenda Kwenye mada yangu.

Kuna binti nampenda sana yaani sana mpaka naumwa.
Na binti mwenywe mweupe,sura nzuri yaani penye watu 10 lazima watu Tisa wageuze shingo kumtazama.
Yaani missi zaidi ya Diana Lukumai wa Tanzania.

Huyu Binti nilianza kumtongoza tangu mwezi wa tatu hadi mwezi huu kumi na 2.
Ila hanielewi.
KUMBUKA:BINTI NI MUHITIMU KIDATO CHA NNE MWAKA HUU-2016
Ila wazazi wake ni Waathirika la Ugonjwa wa kunywa dawa kila siku na masharti ya ugonjwa lazima umeze kidonge kila siku.
Isipikuwa yeye na mdogo wake ni wazima lakini sina hakika.

Huyu binti akiwa na shida hunifuata na akiwa na rafiki yangu ambaye ananisaidia kumshawishi awe na Mimi huwa ananiambia "amekubali" ila nikiwa na yeye wala haoneshi ile hali ya kunipenda.
Sitaki niwachoshe kwa maelezo mengi mpaka basi kikubwa binti nampenda yeye hanipendi na nimeonesha kila dalili ya kumpenda hanielewi je nifanyeje.

Bora niwe pekee yangu.
0d5f473e61ce1b2e36da322e46d5fe5e.jpg
We jamaa hii mada inapaswa kuandikwa na mtoto wa kike..
 
Kamwe usijidanganye utaishi single milele unadhani haya maumbile yaliumbwa kama picha?

Wakati wako sahihi au mtu sahihi uliepagwa nae si huyo

Relax wanawake wako weeeengi utapata mwengine Na utampenda hadi ujiulize imekuaje

Kama hutakiwi usiyalazimishe mapenzi ukajutia

Huwezi kujua unaepushwa Na nn mbele
 
Vijana wa miaka ya 1930's walikuwa wanashiriki vita na hawalalamiki

Vijana wa miaka hii wajisikia huzini na wanalalamika mapenzi yanawaumiza zaid ya risasi na mabomu
 
wewe shukuru kuwa hakuelewi! uking'ang'anizi huu kuna mwenzake tumemzika leo; alimtongoza binti mmoja ambae wazazi wake ni waathirika, binti hakumwelewa jamaa licha ya kupiga nae stori vizuri tu. Jamaa kang'ang'ana tu toka mwezi wa 5 hadi demu kaamua kumpa juzi juzi siku ya gwaride la kimya kimya, na manjonjo ya mtanzania mwenzetu komando bonge, jamaa akala mzigo huku wengine tumekodoa kodo kwenye tv kumcheki komando wetu wa mwaka wa maazisho ya miaka 55 ya uhuru wa Tanganyika; katika kula mzigo huko na kurejea nyumbani jamaa kapokea sms toka kwa demu kuwa demu ni mwathirika hivyo anamuomba msamaha kwa hilo 'mchizi', kusoma tu hiyo text jamaa akaona siku zake za kuishi ni nyingi sana hivyo kazikatisha kwa makusudi usiku akiwa chumbani mwake amelala siku hiyo ya komando bonge, na leo ndo imeruhusiwa azikwe.
Take care especially unapokuwa unajua wazazi ni waathirika, pia kaa mbali na vitoto vya mwishoni mwishoni kuzaliwa ktk familia kwani vingi vimezaliwa nao
 
Km bnt ndio kamaliza form four,bas naiman umri wake na Wako hamjapshana Sana,yani wote n watoto.Utoto WA dzain hii peleka kwny magrup yenu ya wasap
 
Back
Top Bottom