#sitomuibia_mwalimu_milele

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
#"SITOMUIBIA_MWALIMU_MILELE" ni
kauli iliyotolewa na kibaka baada ya
kuiba Pochi ya Mwalimu wa primary
na kukuta vitu vifuatavyo:-

1-Majina ya wapiga kelele darasan

2-Majina ya waliochelewa namba
shule

3-Majina ya waliokopa ubuyu na
bagia

4-majina ya wanaomdai

5-Kadi ya sherehe ya shule jiran

6-Peni nyekundu

7-Salary slip yennye mkopo

8-Risiti ya ATM inayoonyesha salio
Tsh 0.00

Mwizi huyo akaapa na kusema
#"SITOMUIBIA_TENA_MWALIMU"
 
Hahahah chezeya teacher wwe kishule zaidi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…