Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,258
Aisee kutoka out na baadhi ya wanawake ni kazi sana, yamenikuta mimi na hata baadhi ya marafiki zangu ambao wametoka na magirlfriend zao yaani una kuta demu yuko bize na simu muda wote yaani concentration kwako inakuwa ndogo na hizi hizi touch screen zimekuja yaani kila muda yuko bize.
Ukimuuliza mbona hujaconcentrate anasema najibu sijui meseji za marafiki zangu wa whatsup,cjiu fACEBOOK mara instragram cju na nyie yamewakuta yaani binti bize na simu ukiwa na roho nyepesi unaweza kumuacha.
Jamani kinadada punguzeni kidogo basi simu hamjazaliwa nazo hizo.
Ukimuuliza mbona hujaconcentrate anasema najibu sijui meseji za marafiki zangu wa whatsup,cjiu fACEBOOK mara instragram cju na nyie yamewakuta yaani binti bize na simu ukiwa na roho nyepesi unaweza kumuacha.
Jamani kinadada punguzeni kidogo basi simu hamjazaliwa nazo hizo.