Sitoisahau Zanzibar!

Sitoisahau Zanzibar!

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
516
Reaction score
815
Wakuu habari!

Niende moja kwa moja mwenye mada.

Ilikuwa mwaka 2019 kuna rafiki yangu alipata kazi Zanzibar maneo ya unguja kaskazin katika NGO moja kule.

Alifanya kazi kwa bidii kwani ili mwaka ujao 2020 aweze kuongezewa mshahara, kumbe katika kufanya kazi kwake wale wenye taasisi waliona yule kijana anafaa kuwa kiogozi pale.

Alikuwepo boss ambaye alikuwa na asili ya Mpemba na Mtanga...basi jamaa aliaza mtafutia visa vya hovyo tu ili pale kazini atoke kwani ameshaanza kuonekana yeye ni bora kuliko waliopo ingawa yeye akuwa na lengo la cheo Bali alifanya kazi kwa bidii ili aongezewe mshahara tu wala sio cheo ila la cheo waliona viongozi kuwa dogo anafaa.

Cha ajabu ikifika Usiku jamaa anaamuka mida hata ya saa 8 anajikuta amechoka hatari. Basi ilikuwa mwisho mwa mwaka 2019 mwezi wa 11 alitumiwa majini ya kumfukuzisha kazi ..alianza kuandika vitu vya ovyo kwenye simu pia kazini alitoka kwa kutupiwa hayo majini.

Aliona sio kesi akaachia kazi akaondoka zake kwenda kwao bara.. Cha ajabu kumbe Yale majini yashatumwa kwake yalienda naye mpaka kwao yakaanza kumtesa hatari.

Kwa kweli Wazanzibar wana roho mbaya sana hawapendi kuona mubara amewazidi. Sitokuja kusahau Wazazibar na Watanga kwa uchawi wa majini na wivu usiokuwa na maana. Mungu atawalipa tu kwa kitendo walichomfanyia huyu dogo..amepata makovu ya mwili yasio na maana kwa watu kwenye wivu tu kazini bila hata kosa.

Niwasihi hasa watu waliopo ukanda wa pwani kuwa makini sana na watu wa uko hasa watanga na wazenji.
 
Pole yake ndo changamoto za maisha ya utafutaji hizo, amepata cha kusimulia wajukuu zake enzi za ujana wake
 
Wakuu habari!

Niende moja kwa moja mwenye mada..

Ilikuwa mwaka 2019 kuna rafiki yangu alipata kazi Zanzibar maneo ya unguja kaskazin katika NGO moja kule...
Sumbawanga na Kigoma zipo pwani?

Gamboshi?

Haya kote yapo...hata humu kuna nyuzi zinaeleza hayo hayo tena huko huko mrima!

Pole kwake ..kwa kufikwa..wenzie huwa wanaaga kwao kwanza..
 
Wanasema ukila sana KITI MOTO eti hayakupati hayo madudu, sijui kama ni kweli au porojo za vijiweni!!
 
Pole mkuu, unachosema ni kweli, kuna ndugu yangu alihamishiwa huko miaka kadhaa iloyopita anasimulia hivyo hivyo, mwaka jana karudishwa bara ameshukuru sana.

Kuna nyumba alijenga huko anasema hataki hata kupangisha anataka auze kabisa, maana ukimpangisha mtu jua hio sio yako tena, utaendewa kwa Sangoma utaisahau hata kodi hutakaa udai.

Hata hivyo naamini haya yapo kila mahali kwahio,na watu wazuri wapo pia ila kuna mahali yamekithiri.
 
Muwe mnaaga kwanza makwenu kabla hamjatoka, leo umemlalamikia mtanga & mzenji kesho utawalilia waha, wasumbawanga n.k, dunia pana sana hii.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom