(Sahih Muslim)"Dunia ni gereza kwa Muumini na pepo kwa kafiri."
(Tirmidhi, Ahmad)"Kuishi kwangu katika dunia ni kama msafiri aliyepumzika chini ya mti kisha akaondoka na kumuacha."
(Sahih Bukhari)Mtume (s.a.w) alinichukua mabegani na kusema: "Ishi katika dunia kama mgeni au mpitaji."
Kimekulamba ππππ½ββοΈNaona bora niitafute akhera yangu badala ya kuitafuta dunia zaidi.
Khaaaa tenaNaona bora niitafute akhera yangu badala ya kuitafuta dunia zaidi.
PoleeeeNaona bora niitafute akhera yangu badala ya kuitafuta dunia zaidi.
Haya, mbotelea mbaliKafie mbele
Sema utavyosemaImepanda kichwani