Sitasahau!!!

Wakumwitu

Naufahamu vizuri huo wimbo, natena juzi kaka alikuja kwangu akaniambia dada kwenye harusi yako wimbo huo lazima tutaupiga!! ili wajue kuwa tunawaombea, nilibaki kucheka tu!
 
Susy pole sana tena yaani inauma!!! Jamani watu wengine roho zao za kinyama? hivi yeye angependa kesho na kesho kutwa akiwa hayupo hapa duniani mtoto wake afanyiwe hivyo?????
 
Wakumwitu

Naufahamu vizuri huo wimbo, natena juzi kaka alikuja kwangu akaniambia dada kwenye harusi yako wimbo huo lazima tutaupiga!! ili wajue kuwa tunawaombea, nilibaki kucheka tu!


Japo najua ni ngumu lakini Biblia inatufundisha kusamehe na kusahau. Kwa msaada wa Mungu tutashinda tuu

 
Strategizt

Tena watoto wake ninawapenda kuliko maaelezo!!!

Basi tu hiyo ni roho mbaya!!
 
Binadamu huwa wanasahau kwamba aliyemdogo leo kesho atakuwa mtu mzima na ataweza kujihudumia mwenyewe, ubinafsi na umaskini ni chanzo cha dhuluma kwa watoto yatima na wajane, lakini pia shida hizo huwa zinajenga immunity hakuna litakalokubabaisha ukubwani. pole sana
 


lakini bado mnasema akina mama ni watu wenye huruma. Ukweli ni kwamba akina mama wengi wapo kama huyo wifi yako
 
dunia ina majaribu ya kutosha, kila mtu akitoa lake humu patakuwa hapatoshi,mie ndio ctakagi kabisa kukumbuka past yangu na nilivyo na kinyongo najish2kiziaga nimeanza kuwachukia upya upya...Mungu huyu mwache aitwe Mungu....pole sana susy wengi tumeyapitia hayo majaribu...
 
lakini bado mnasema akina mama ni watu wenye huruma. Ukweli ni kwamba akina mama wengi wapo kama huyo wifi yako

kwakweli siwezi kulisemea hilo, ila wifi yangu alikuwa funga kazi!!! alikuwa na roho zite zinazotekea kwa shetani!!!!
 

thanks my dia
 
Pole sana Suzy,
Mungu siku zote anakuletea majaribu ili apime imani yako, na hawezi kukuacha mpweke hata siku moja
Nina imani kwamba imani yako sasa hivi juu ya uwezo wa mungu iko juu sana
ingekuwa tofauti pale ambapo wazazi wako (RIP) wangekuwepo
Na nina imani kwamba Mungu ana makusudi makubwa juu yako na anataka kukutumia
 
Askofu

Nimekusoma!! nimekuelewa

nashukuru kwa kunitia moyo
 
Mpaka mwili wangu umekuwa wa baridi kuna wakati najiuliza hivi m2 anapataje ujasiri wa kuwanyanyasa watoto wa mtu mwingine tena ndugu yake zaidi sana yatima na hata kumpora mali alizoachiwa na wazazi wake!?

Pole sana dada Susy Mungu yupo na yeye ni mfariji wa wote na atakufuta kila chozi lako weka imani yako kwake zaidi sana usilipize walivyotendea waombee na uwasaidie ili wafe kwa aibu zao wenyewe

ONCE AGAIN POLE SANA INAUMA KULIKO UNAVYOSIMULIA
 
Duh, pole sana dada, usisahau "If God is for us who is against us"???? Mshukuru kila wakati.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…