Sitamsahau Demu Huyu

Wa Zanzibar ama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni muendelezo wa mmomonyoko wa maadili. Kwenu ma Moderator kwanini lakini mnaachia mada kama hizi kwenye jukwaa hili?

ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
Nyie ndio watoto wenu wakija kulawitiwa mashuleni mnakuja huku mnalia..

Pita ivi...
 
Mkuu sijakuelewa, yaani dem alikuwa anataka akupe number yake ya simu ndio muwe munawasiliana, na mukioana ndio ukiwa mume wake alikuwa tayari kulala na wewe maana alikuwa anatuza bikra yake kwako wewe utakae kuwa mume wake au, sijakuelewa mkuu, nipe explanation kidogo, pls
 
Axee we jamaa n mzembee,ungemkubalia tu,kwan kwny papuchi angewka gate?unaitelezesha mle mle akingua unamwambia m mtandao wa 0713 hauna net work ya kutosha
 
Kwann kuzama topeni na mambo mengine ya kishenzi watu huwa wanalinganisha na Firauni....Firauni ni title ya mtawala wa Misri (Pharaoh)! Anayeelewa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Ulipokataa ile offer ulikuwa bado malaika hujaharibikiwa ila sasa umekuwa full firahuni na tayari kuharibu jamii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…