Gitarijosenga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2019
- 276
- 273
Ni kupoteza muda na wasioaminika akina Mbowe na genge lake ama amina Zitto kusema upige kura kinyume na kuwapa wezi walioji camouflage kwenye kuikosoa serikali na wao wana vinanzi ndani ya macho yao,Mtanzania amka ,inaweza chukua miaka 100 kumpata Rais Wa aina ya JPM a humble President a down to earth man ,jaman nawaambia msije kujuta ,chadema ambao wamekuwa wana wahubiria kwamba Tanzania I afaa kuwa hivi wameprove failure ,NASISITIZA SITAMCHAGUA MWINGINE ZAIDI YA JPM 2020.
Povu ruksa
Povu ruksa