Sitamani tena kuoa

Uongo kiwango cha lami hata haja ndogo huwezi enda mara hizo kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalala na madada poa kumi kwa siku, unafanya kazi saa ngapi ?

ni bora tu husioe maana utamlaza njaa mtoto wa watu.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Unalala na madada poa kumi kwa siku, unafanya kazi saa ngapi ?

ni bora tu husioe maana utamlaza njaa mtoto wa watu.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Zamani kipindi nikiwa chuo Mkuu. Uwe unasoma unaelewa.

Sasa hivi huwa naenda kupasha kimtindo. Mfano mida ya saa nne hivi asubuhi, mchana nikitoka kazini breki ya kwanza ni huko, jioni mida ya saa moja.
 
Zamani kipindi nikiwa chuo Mkuu. Uwe unasoma unaelewa.

Sasa hivi huwa naenda kupasha kimtindo. Mfano mida ya saa nne hivi asubuhi, mchana nikitoka kazini breki ya kwanza ni huko, jioni mida ya saa moja.
Huna starehe nyingine zaidi ya ngono ?

mambo mengine ni kujiendekeza tu

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…