Ze duduz,kwa jina hilo linalofanana na dawa ya kimasai sidhani kama mademu watakusalimisha.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo.... Na Leo ndio kaamua kurudisha rasmi zawadi na vitu vingine ambavyo nilimnunulia wakati wa mahusiano yetu...
Hapa nilipo machozi yananitoka kwa kuangalia hivi vitu nilivyo mnunulia wakati huo mapenzi yetu yalipokuwa moto moto na nashindwa nivipeleke wapi maaana kadli ninavyozidi kuviangalia ndipo moyo unazidi kuumia Sana... Just nitoe tyu angalizo kwa vijana wenzangu wawe makini na hawa wadada wanaowakabadhi mioyo yao muda wowote wanabadilika....na wanaweza kukua kwa presha...
Mwisho kabisa mapenzi yana nguvu na yana umiza Sana "SIDHANI KAMA NITAKUJA KUMWAMINI MWANAMKE TENA " katika maisha yangu yote hapa duniani
hana namna tena amerudishiwa moyo wake tulie ss....afaham kama mwenzie kachoka kukaa naoPole brother..huo moyo ulomkabidhi ndiyo kaurudisha..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo.... Na Leo ndio kaamua kurudisha rasmi zawadi na vitu vingine ambavyo nilimnunulia wakati wa mahusiano yetu...
Hapa nilipo machozi yananitoka kwa kuangalia hivi vitu nilivyo mnunulia wakati huo mapenzi yetu yalipokuwa moto moto na nashindwa nivipeleke wapi maaana kadli ninavyozidi kuviangalia ndipo moyo unazidi kuumia Sana... Just nitoe tyu angalizo kwa vijana wenzangu wawe makini na hawa wadada wanaowakabadhi mioyo yao muda wowote wanabadilika....na wanaweza kukua kwa presha...
Mwisho kabisa mapenzi yana nguvu na yana umiza Sana "SIDHANI KAMA NITAKUJA KUMWAMINI MWANAMKE TENA " katika maisha yangu yote hapa duniani
Mapenz hayaigizik mkuu , hyo inakuwa mwanzon kwa sisi wanaume ila ukiendelea kukaa na mwanamke ndio unazd kumpenda na kuwekeza kwake kama wew ni kijan mwenye malengo japo unawez ukawa unapga nje ila mmoja utamuelewa tuuTatizo ulipenda yoteyoteeeee.. Ahh mwanamke usimpe moyo 100% MPE 50% but pretend umempa 100% ukiona dalili ameanza kubadilika tafuta kamchepuko kama insurance... Utaumia akikuuacha lakini sio sana... My friend kama ulikuwa huna insurance uwiiiihh unaweza kufa kwa mawazo... Mimi nilishatafunaga vocha kabla sijaweka kwenye simu laleq since that first relationship of I sirudiagi kosa yani.. Insurance muhimu kukiwa na dalili ya ajali lakini.. Unamwacha MTU afu hujutii noma sana.