Sister Du Kaona Kajamba

Sister Du Kaona Kajamba

Malunkwi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
338
Reaction score
80
Wadau wacha nijaribu kuwaondolea stress cheki hii.......................

"kuna mwanamke aliingia duka la dhahabu,kuna pete ikamvutia akainama kuitizama vizuri bahati mbaya akajamba,akaangalia je hamna mtu aliyesikia?kamkuta mwenye duka yuko karibu yake akataka kupotezea,akamuuliza hii pete bei gani?akamjibu umeiona 2 umejamba nikikwambia bei si utakunya?"ingekuwa wewe ungendelea kuwa dukani?
 
Namkamata huyo muuza duka namrusha mitama mpaka akome
 
namharishia usoni,hawezi kuniaibisha kisoro kwanza ni mambo ya kitarazi,itakua uyo muuza duka anapenda mambo ya kitenenge
 
hii kali inawezakana kabla hujatuma hii post yako nawe uliutoa! Bah! bwiiiiiiiii
 
usije ukawa wewe ukasema kuna dada mmoja kumbe ni wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom