Sisi ndio wanaume bwana!

:lol::lol::lol::lol: ODM sikuwezi! you're crazy! :lol::lol::lol:
 
Khee! Mtoto mshakunaku weye..... umeenda kufufua vibudu! Khaa!
Niliona iko quoted in a thread I am interested in, ndio nikafata quotation link. looooool
Hii ilirushwa wakati nilipause kwa muda wa wiki 3 or so, i didn't see it! :lol:
 
Er? Nlifikiri madaraka ulonikabidhi ni with full authority....!

haaa taratibu za kiofisi haziko ivo hommie....unakaimishwa baadhi...umesahau issue ya Jairo na Pinda na JK? Think!
 
haaa taratibu za kiofisi haziko ivo hommie....unakaimishwa baadhi...umesahau issue ya Jairo na Pinda na JK? Think!
Orayt..... hiyo ishu nikichanganya na zangu nakonkludi na ya Blandina Nyoni na Mtasiwa....

Ukoloni Mkongwe!
 
kama unapay kununua frij, gar nyumb na mke unatoa mahar ili vyote vije kuw sehem ya maisha yako, mwanamk nahis anafanan zaid na hiv vitu. labda mahar zifutwe
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Mamaaa Yangu !
 
You are absolutely right. HAyo ni mambo ya msingi. Ukishindwa unaitwa majina kibaaaao.
Yaah, sisi ndiyo wanaume bwana! Mwanaume harigi hata kama atasifiwa kwa mazuri anayoyafanya, kwani anajua ni moja ya majukumu yake na ni lazima ayatekeleze. Wadada na vivulana vidogo ndo wanaringa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…