SISI KAGERA SUGAR F.C FANHOOD CLUB

Alex Xavery

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
230
196
Kwa mara ya kwanza ktk historia ya club yetu pendwa @kagerasugar kushika nafasi ya juu kama hii ya 3 katika ligi kuu ya Tanzania bara. Haikuwa kazi rahisi, sisi KAGERA SUGAR F.C FANHOOD tulitoa support yetu ya nguvu na vijana wametupa heshima msimu huu 2016/2017. Inshallah 2017/2018 ni kushika nafasi ya juu zaidi ili kutoka nje ya mipaka ya Tanzania tukipeperusha bendela ya Taifa. Asante sana wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha lengo.
 

Attachments

  • IMG_20170520_204259_161.jpg
    IMG_20170520_204259_161.jpg
    137.2 KB · Views: 30
Back
Top Bottom