Sirudii tena kufanya ujinga highway

Ungeingia tu chemba Yutong ingefanya yakeπŸ˜…
 
Picha tafadhari
 
pole sana kwa majaribu hayo,
kuwa makini unaposafiri jitahidi usiwe na haraka uiwa barabarani
 
Mkuu umeongea kitaalamu pikipiki za Mchina hamna kitu ingekua ya Mjapani hata ikiwa 125 CC Two Stroke ni nyepesi kuchanganya wenye malori unawala km wamesimama tatizo pikipiki Two Stroke hazitakiwi duniani sababu ya uhifadhi wa mazingira.
 
Ukiwa barabarani.
1.kuwa mvumilivu
2. Ondoa hasira
3. Overtake ni kusogeza siku zako za kufa.
4. Fuata sheria za barabarani
5. Usiku mwisho 60km/hr
6. Kuendesha kasi kunaua
7.maisha matamu lakini mafupi kwa nini uyafupishe tena?
 
Ukiwa barabarani.
1.kuwa mvumilivu
2. Ondoa hasira
3. Overtake ni kusogeza siku zako za kufa.
4. Fuata sheria za barabarani
5. Usiku mwisho 60km/hr
6. Kuendesha kasi kunaua
7.maisha matamu lakini mafupi kwa nini uyafupishe tena?
Umesahau: kama una stress never na never usingie barabarani esp highway.
Kama umelewa kamwe usijaribu.
 
Nilikuona na nikqshangaa maamuzi yako ila baadaye nikadhani mmeingia ubia mnatengeneza movie na wale wajeda
 
Mi kuna boda nilimkodi akafanya huo upuuzi wa kupita katikati ya semi mbili mandela road, niliapa sipandi pikipiki kamwe, huku naona mitairi mikubwa huku nako hivyohivyo nilitokwa na makamasi kama kondoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Siku zote madereva wa Semi trailer huwa wana matatizo makubwa mawili.

1- Huwa hawalali usiku maana kazi zao nyingi ni usiku.

2- Huwa hawajali watumiaji wengine wa barabara kutokana na ukubwa wa magari yao. Kwahiyo ni jukumu la watumiaji wengine kujali usalama wao.

Kwahiyo kuwa makini unapoendesha karibu na SEMI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…