Siri zavuja Nyalandu na urais, rais na baraza la Mawaziri, Mwigulu Mwiba

Watanganyika cjui nanikatuloga hivi kuna mtu mwenye AKILI timamu anaweza kupoteza muda wake kumjadili MWIGULU na NYARANDU khs uraHISI wa NCH hii daah....wakati mwingine huwa najidharau sana kujitambulisha km Mtanganyika
 
Duuh!Professor wa kichina kaidhalilisha sana taasisi ya urais mpaka hata mpiga debe pale stendi ya tandale anatangaza nia ya kugombea urais!!Kazi kwelikweli!
 
​watanzania wameshagundua biashara pekee ya kulala masikini na kuamka tajiri ipo magogoni pekee...inasikitisha sana

Hapana. Ni kwamba Waziri yeyote akishaiba na kufanya ufisadi serikalini na kujikusanyia pesa basi anachowaza kufanya na fedha hizo ni kupata urais! E.g. Membe, Maige (baada ya kuondolewa ameacha ndoto za urais), Ngeleja, January, Mwigulu na sasa Nyalandu...WOTE WEZI WATUPU
 
Jamani mwezi june 2015 itafika ili mgombea ajulikana msituchanganye sisi tunaofanya lazi zetu binafisi hatungoji kuwa kwenye ya mwanasiasa raisi atajulikana kwa nguvu za Mungu na huenda kati ya wote waliotangaza hakuna chaguo la Mungu. Tudumuni kwenye maombi tusije pata raisi mwoga kutoa maamuzi na anayeogopa kivuli chake
 
Nyalandu kutangaza kugombea URAIS, Siri zafichuka kutoka Kikao Cha KBH singida. Yadaiwa ni kumdhibiti na kumpunguzia nguvu Mwigulu Nchemba,Pia Muundo Mpya wa Baraza la Mawaziri Wamuweka tumbo Joto.

Hivi karibuni Speed ya Mwigulu Nchemba kukubalika kwenye mbele ya watanzania wengi kuhusu mbio za Urais umekuwa kubwa sana na zimeshtua wengi na kwamba kambi mbalimbali za wasaka urais zimeweka vikao vizito wakipanga mikakati mizito ya kumdhibiti kijana huyu aliyewavutia watu wengi kwa muda mfupi,Mbali zaidi anajoto la kuleta tumaini la kufanya mabadiliko ndani ya nchi na kubatizwa jina la SOKOINE WA PILI, VIJIWENI WAKIMWITA S2.
Taarifa kutoka kwa umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Singida zinasema CCM na UVCCM hawakushiriki tukio hilo kwa kuwa waligundua nia ya tukio hilo ni kumpunguzia nguvu Mwigulu Nchemba wala sio nia ya kukitaka kiti hicho kwa kumaanisha.Pia Nyalandu anacheza na akili ya Rais kuwa ndani ya Baraza Jipya linalotegemewa kufanyiwa marekebisho asiondolewe.

Akiongea kwa hasira kiongozi wa vijana machachari na wakereketwa wa siasa Singida Mjini ndugu "Benja"alisema hivi katka hali ya kawaida ni kweli Lazaro Nyalandu anaweza kutaka kuwa Rais?
Hapa tu Singida mjini na jimboni kwake hawezi kuita mkutano mpaka alete waimbaji akina Rose Mhando ndio watu wajitokeze. Hivi akitafuta Urais atasema ni kwa ajili ya nini? Atatwambia nini mtu ambaye familia yake yote inaishi nje ya Nchi yaani hawazijui kabisa shida za Watanzania.
Nyalandu mtu ambaye ukishakana naye mikopo anatafuta maji anawe eti Umemchafua,Leo hii anaomba Urais?Ni bora mm Benja niwe Rais kuliko Nyalandu.
Kwa upande mwingine Raifiki wa karibu wa kiongozi huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa wilaya mojawapo Singida amesema makambi ya wazee yamekaa yakaona Mwigulu Nchemba amejijengea umaarufu mkubwa mbele ya vijana, na makundi mbalimbali. Pia Mwigulu hanunuliki na hana Makundi yeye anaelewana na kila Mgombea,Hivi karibuni kundi moja tajiri lilishindwa kumnunua, kundi lingine limeona limtibulie mkoani kwake ionekane kaka mkubwa ametangaza ili baadae yeye aunge mkono.

Kwa mjibu wa taarifa za ndani za viongozi wa Singida zinasema wananchi wa mkoa wa Singida wana matumaini makubwa na Ndg Mwigulu Nchemba kuwakomboa watanzania," mngetuuliza watu wa Singida tuwape mtoto gani watanzania tungewapa Mwigulu Nchemba, " hawa wanaotangaza nia eti ili kumtibulia SOKOINE 2 wanajihangaisha tu, ngome ya Mwigulu ni Manyara, Singida, Dodoma, Simiyu, Tabora, Ruvuma,Unguja,Pemba,Dsm,Shinyanga, Mwanza,Geita n.k Kote huko wanajua Mwigulu ni mtoto wao, bado wazalendo wote nchi nzima, watoto wa masikini, masikini, vyuo vikuu, wafugaji walimu nk. Kwa upande mwingine, MNEC mmoja kijana anae tokea ukanda kilipofanyikia kikao hicho na yeye akihudhuria alisema nikweli kikao kilifanyika kwa zaidi ya masaa sita mfululizo kikijadili wagombea na mwisho wa siku kikaridhia kuwa ndani ya chama Mwigulu ndiye mgombea tishio, na kikaamua kutengeneza njama ya kumharibia kura kwa kumtuma moja ya kijana wanaetoka mkoa mmoja ajifanye au agombee kukagawa kura au kumkatisha tamaa Mwigulu.

Kwaupande mwingine kundi moja limeajiri watu wa kumchafua Mwigulu Nchemba mitandaoni na baadae kwenye magazeti kwa uongo. Katika kikao chao kilichokaa zaidi ya masaa matano pale Hilton Park walijadiliana namna ya kumdhibiti kijana huyu.

Kundi hili limekuwa likihisi kuwa Mwigulu ni mtoto wa no 1 kutokana na ujasiri wa kijana huyu kukemea vitu bila uoga mahali popote, wakati wote kwenye mambo yenye masilahi ya kitaifa, Mwigulu amekuwa akiwapinga hata mawaziri kwa msimamo usioyumba, amekuwa akimpinga Waziri mkuu, makamu hata Rais, wanasema kwanini anaujasiri hivi? Anautoa wapi?

Lakini mara nyingi akipinga kitu Rais naye anaunga mkono, mfano swala la Loliondo, bunge la katiba alikataa nyongeza ya siku 28, na juzi swala la kodi kwenye escrow.
Pia kundi hilo likasema tuseme huyu ni kijana wake maana inaonekana ndiye kijana anayeandaliwa kuachiwa nchi. Pamoja na kwamba JK alihamia SINGIDA 1976 tayari Mwigulu akiwa na mwaka mmoja,

Kundi hilo limeahidi kusaka taarifa za kughushi ili ionekane Mwigulu amezaliwa baada ya JK kuhamia Singida

Mwigulu, watashindana nawe lakini hawatashinda, kwani wanyonge tulioko nawe tuko wengi kuliko walioko upande wao.

acha watu washindane kwa hoja usilete uzushi ss tutawapima na kuchambua ngano na pumba, wala usiwe na wasiwasi, watu wanakimbilia ikulu kwasababu sio tena mahali patakatifu kama alivyopaita nyerere
 
Ruvuma ni ngome ya Mwigulu.....!!!!? Yaani Mwigulu awe rais....!! Dah Kikwete kaharibu kiasi hata vichaa wanauwaza urais
 
Nyalandu kutangaza kugombea URAIS, Siri zafichuka kutoka Kikao Cha KBH singida. Yadaiwa ni kumdhibiti na kumpunguzia nguvu Mwigulu Nchemba,Pia Muundo Mpya wa Baraza la Mawaziri Wamuweka tumbo Joto.

Hivi karibuni Speed ya Mwigulu Nchemba kukubalika kwenye mbele ya watanzania wengi kuhusu mbio za Urais umekuwa kubwa sana na zimeshtua wengi na kwamba kambi mbalimbali za wasaka urais zimeweka vikao vizito wakipanga mikakati mizito ya kumdhibiti kijana huyu aliyewavutia watu wengi kwa muda mfupi,Mbali zaidi anajoto la kuleta tumaini la kufanya mabadiliko ndani ya nchi na kubatizwa jina la SOKOINE WA PILI, VIJIWENI WAKIMWITA S2.
Taarifa kutoka kwa umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Singida zinasema CCM na UVCCM hawakushiriki tukio hilo kwa kuwa waligundua nia ya tukio hilo ni kumpunguzia nguvu Mwigulu Nchemba wala sio nia ya kukitaka kiti hicho kwa kumaanisha.Pia Nyalandu anacheza na akili ya Rais kuwa ndani ya Baraza Jipya linalotegemewa kufanyiwa marekebisho asiondolewe.

Akiongea kwa hasira kiongozi wa vijana machachari na wakereketwa wa siasa Singida Mjini ndugu "Benja"alisema hivi katka hali ya kawaida ni kweli Lazaro Nyalandu anaweza kutaka kuwa Rais?
Hapa tu Singida mjini na jimboni kwake hawezi kuita mkutano mpaka alete waimbaji akina Rose Mhando ndio watu wajitokeze. Hivi akitafuta Urais atasema ni kwa ajili ya nini? Atatwambia nini mtu ambaye familia yake yote inaishi nje ya Nchi yaani hawazijui kabisa shida za Watanzania.
Nyalandu mtu ambaye ukishakana naye mikopo anatafuta maji anawe eti Umemchafua,Leo hii anaomba Urais?Ni bora mm Benja niwe Rais kuliko Nyalandu.
Kwa upande mwingine Raifiki wa karibu wa kiongozi huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa wilaya mojawapo Singida amesema makambi ya wazee yamekaa yakaona Mwigulu Nchemba amejijengea umaarufu mkubwa mbele ya vijana, na makundi mbalimbali. Pia Mwigulu hanunuliki na hana Makundi yeye anaelewana na kila Mgombea,Hivi karibuni kundi moja tajiri lilishindwa kumnunua, kundi lingine limeona limtibulie mkoani kwake ionekane kaka mkubwa ametangaza ili baadae yeye aunge mkono.

Kwa mjibu wa taarifa za ndani za viongozi wa Singida zinasema wananchi wa mkoa wa Singida wana matumaini makubwa na Ndg Mwigulu Nchemba kuwakomboa watanzania," mngetuuliza watu wa Singida tuwape mtoto gani watanzania tungewapa Mwigulu Nchemba, " hawa wanaotangaza nia eti ili kumtibulia SOKOINE 2 wanajihangaisha tu, ngome ya Mwigulu ni Manyara, Singida, Dodoma, Simiyu, Tabora, Ruvuma,Unguja,Pemba,Dsm,Shinyanga, Mwanza,Geita n.k Kote huko wanajua Mwigulu ni mtoto wao, bado wazalendo wote nchi nzima, watoto wa masikini, masikini, vyuo vikuu, wafugaji walimu nk. Kwa upande mwingine, MNEC mmoja kijana anae tokea ukanda kilipofanyikia kikao hicho na yeye akihudhuria alisema nikweli kikao kilifanyika kwa zaidi ya masaa sita mfululizo kikijadili wagombea na mwisho wa siku kikaridhia kuwa ndani ya chama Mwigulu ndiye mgombea tishio, na kikaamua kutengeneza njama ya kumharibia kura kwa kumtuma moja ya kijana wanaetoka mkoa mmoja ajifanye au agombee kukagawa kura au kumkatisha tamaa Mwigulu.

Kwaupande mwingine kundi moja limeajiri watu wa kumchafua Mwigulu Nchemba mitandaoni na baadae kwenye magazeti kwa uongo. Katika kikao chao kilichokaa zaidi ya masaa matano pale Hilton Park walijadiliana namna ya kumdhibiti kijana huyu.

Kundi hili limekuwa likihisi kuwa Mwigulu ni mtoto wa no 1 kutokana na ujasiri wa kijana huyu kukemea vitu bila uoga mahali popote, wakati wote kwenye mambo yenye masilahi ya kitaifa, Mwigulu amekuwa akiwapinga hata mawaziri kwa msimamo usioyumba, amekuwa akimpinga Waziri mkuu, makamu hata Rais, wanasema kwanini anaujasiri hivi? Anautoa wapi?

Lakini mara nyingi akipinga kitu Rais naye anaunga mkono, mfano swala la Loliondo, bunge la katiba alikataa nyongeza ya siku 28, na juzi swala la kodi kwenye escrow.
Pia kundi hilo likasema tuseme huyu ni kijana wake maana inaonekana ndiye kijana anayeandaliwa kuachiwa nchi. Pamoja na kwamba JK alihamia SINGIDA 1976 tayari Mwigulu akiwa na mwaka mmoja,

Kundi hilo limeahidi kusaka taarifa za kughushi ili ionekane Mwigulu amezaliwa baada ya JK kuhamia Singida

Mwigulu, watashindana nawe lakini hawatashinda, kwani wanyonge tulioko nawe tuko wengi kuliko walioko upande wao.

umeleta uchafu jo!
 
si mwigulu wala nyalandu anayeweza kufika ikulu , ikulu si mahali pa kuchezea , kama umekula hela zao warudishie tu mjomba .
 
Back
Top Bottom