GE2025 Siri ya wageni wasio wageni walioshriki mauaji ya raia, dhana hiyo siyo ngeni duniani

GE2025 Siri ya wageni wasio wageni walioshriki mauaji ya raia, dhana hiyo siyo ngeni duniani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
29,869
Reaction score
34,025
PROPAGANDA YA UWEPO WA WAGENI, NI MFU NI VYOMBO VYETU NDIYO HAO "WAGENI' AMBAO HATA SAMIA ALIDAI WAPO NCHINI
1762281170461.jpeg

Katika ulimwengu wa vyombo vya usalama, kujitungia lugha isiyoeleweka na wenyeji siyo jambo geni.

Lakini ni jambo geni hasa pale vyombo vinapotumika kuuwa raia wake ndani ya mipaka ya taifa lao kama ilivyotokea kati ya tarehe 29 Oktoba 2025 na tarehe 02 November 2025 nchini Tanzania

Historia inaonesha wakati wa vita kuu ya dunia World War II taifa la Marekani ilipokuwa inapigana na taifa la Japan, wajapani walikuwa wamejitayarisha kuimanya lugha ya kiEnglish almaarufu Kiingereza. Hivyo operesheni zote za Marekani wajapani walikuwa na uwezo wa kusikiliza na kutumia advantage hiyo kupambana na Jeshi la Marekani

Hivyo kuzuia turufu ya Wajapani kufahamu operesheni za wamarekani, jeshi la Marekani liliamua kutumia lugha ya jamii ya wahindi wekundu wa Marekani katika mawasiliano ili kuzima turufu waliokuwa nayo Wajapani kuelewa operesheni za Jeshi la Marekani.
1762280263082.jpeg

Kabila hilo dogo la nchini Marekani iliwapa usiri mawasiliano na pia operesheni zao kutofahamika.

Kabila hilo ndani ya Marekani likipatikana Navajo na ndani ya jeshi la Marekani walikuwapo wanajeshi wao waliokuwa wanazungumza lugha hiyo isiyo fahamika kwa Wajapani. Lugha hiyo ilipewa jina Navajo Code Talkers

Sasa turudi nchini Tanzania madai ya kuwepo wageni wanaopiga risasi wageni au wageni kukamatwa ni propaganda za vyombo vya usalama vya Tanzania.

Ambapo vyombo hivi vya usalama walitunga lugha yao ya siri ya kioperesheni ambayo raia wa makabila 120 yaliyopo Tanzania hata yale makabila ya mpakani hawajawahi kuisikia lugha hivyo ya kutunga ya vyombo vya usalama vikiwa vinatekeleza mauaji kwa kutumia maneno yasiyofahamika na waTanzania lakini yanayo toa ufahamu vyombo kushambulia, kukimbia, kurudi nyuma, kuondoka n.k
 
Navajo Code Talkers

Navajo Code Talkers: Secret Weapon of WWII | Simple History


View: https://m.youtube.com/watch?v=aU4-9-qFbrU
This is raw video footage of Jeanie Greene interviewing Navajo Code Talker Samuel Tso (1922-2012) that was recorded in the 2000s. He tells about his experience entering the Marines, during World War II, and his experience using the Navajo language to send messages back and forth without interception by enemy forces.Jeanie Greene Heartbeat Alaska Film Collection, Sequoyah National Research Center, University of Arkansas at Little Rock, JG_1174. All rights reserved.
During World War II, the United States military needed an unbreakable code—and they found it in the Navajo language. Navajo Code Talkers were Native American Marines who developed a secret code based on their complex and unwritten language. This code was never cracked by enemy forces and played a key role in U.S. victories in the Pacific. Despite facing discrimination at home, these men served with bravery and skill, using their cultural knowledge to protect lives and win battles. This episode explores how the Navajo Code Talkers became one of the most valuable and heroic units in the war.
 
Hata wangekuwepo wageni, shida ni nini? Sisi si tunajinasibu kushiriki katika ukombozi wa nchi nyingi na huko tulipeleka watu wetu kuwasaidia bega kwa bega na wakimbizi wao tuliwahifadhi Tanzania? Sasa kuna shida gani safari hii na wao kutoa msaada kwa ajili ya ukombozi wetu?

Mimi niliwahi kutoa ushauri humu. Moja ya njia bora sana ya kuishinda CCM ni kwa chama kama CHADEMA kutafuta uungwaji mkono katika nchi nyingine hasa hizi za jirani na zingine za kusini mwa Africa. Hili jambo CCM hawalitaki kamwe.

Wapenda mageuzi wasione haya kukiri kuwa wanatafuta sapoti hiyo (na siyo lazima kukiri pale wanapoipata maana hata Tanzania sapoti yetu ya ukombozi kwa nchi nyingine ilikuwa ni siri hadi baadae sana).
 
Kuna kundi la wale waliovaa nguo nyeusi, walikua junction ya Goba jirani na Massana Hospital. Mmoja alikua anasema PILA PILA PILA kumbe alikua na maana pita pita.

Ni watu wa vyombo vya dola serikali ya CCM wakitaka kuwazuga raia, huku msemaji wa Polisi na mkuu wa mkoa Albert Chalamila wakidai nchi imevamiwa na wageni.

Ni wao wenyewe wametunga lugha, maneno machache ya kuwawezesha kufanya operesheni zao kisha kudanganya umma kuna vikosi vya wageni.

Michezo wanayocheza imesha tumika sana mahali pengi na hasa kama nchi na nchi zikiwa zinapiga kijeshi au kijasusi basi hutafuta lugha isiyoeleweka na adui.

Lakini hizi operesheni baada ya maandamano ya kupinga uchaguzi na matokeo yake jeshi na vyombo vinatumia code hizo dhidi ya raia ndani ya taifa lao na siyo dhidi ya jeshi la kigeni au majasusi wa kigeni
 
Mm naona samia amejiongezea kesi ya kujibu kwa watanganyika, kwann yeye na serikali yake wameshindwa kuwazuia hao watu wote kuingia nchini mpaka kusababisha yaliyotokea.
 
Yani nabishana na wewe kusema usalama shilole kusema osama na makundi ya sudani kuwa yapo tanzania kuwa yanapigana vita vya gaza
 
03 November 2025

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akitumika kueneza propaganda ya uwepo wa wageni wauaji

1762282571518.jpeg
 
1762293412121.jpeg

 
Hata ingekuwa kweli ni wageni nani ana dhamana ya kulinda mipaka, raia na mali zao?

Bado inawarudia wenyewe, Wamefikiria kwa usahihi wanachokiongea kweli?

Hawa siyo vikosi vya wageni, ni vyombo vya serikali dhalimu ya CCM kutaka kuwapoteza maboya wananchi wa Tanzania.

Ila ni mchezo hatari wa kuwasingizia baadhi ya mataifa, nchi hizo zitasema ukweli na mara nyingi movement za askari wao huratibiwa kwa ukaribu ndani ya nchi zao na hata idara ya utambuzi jeshini ( military intelligence) kuangalia kama kuna kundi la askari wanavuka mpaka kuingia, kutoka au kujikusanya kwa kusiko kwa kawaida n.k

TOKA MAKTABA :

Yani namna hawa askari walivyokuwa wanamimina risasi kwa wananchi ni kama walikuwa wanauwa wanyama wa mwituni walivamia makazi ya watu.

Yani wanashusha risasi bila huruma yoyote hile! Huzuni sana hii haikubaliki kabisa


uharamia, hawana kosa lolote la kishetia, ndiyo maana vyombo vya dola vinawateka, kuwapeleka porini kuwapiga, kuwatesa, kuwavunja mikono na miguu, na kuwatupa huko huko porini.

Utawala wa madiktekta uchwara hapa Tanzania una kopi na ku paste yafuatayo kutoka tawala za ma dictator:

NJAMA KUBWA ZA VYOMBO VYA USALAMA DHIDI YA WAPINZANI / RAIA HURU HUKO LATIN AMERICA (CHILE)

Operation Condor​

A criminal conspiracy to forcibly disappear people​

1. COORDINATED REPRESSION
2. CONDOR I, II AND III
3. ORLETTI II
4. SOME OF THE STORIES TOLD DURING THE TRIAL
5. THE RIGHT TO TRUTH
6. THE ACCUSED AND THE VICTIMS
7. THE VERDICT

Nosotros no sabíamos | León Ferrari

Within the context of Operation Condor, the coordinated repression passed through different phases:

-In the first, a centralized database was created on guerrilla movements, left-wing parties and groups, trade unionists, religious groups, liberal politicians and supposed enemies of the authoritarian regimes involved in the operation.

-In the second, people considered political “enemies” at the regional level were identified and attacked.


-In the third and final phase, operations were carried out to track down and eliminate persons located in other countries in the Americas and Europe.

The declassified documentation available shows that various US government agencies had early knowledge of the scope of the repressive coordination and did not make much effort to stop it until it had reached the third phase, which proved the most problematic because the operations could no longer be kept under wraps

READ source : Operation Condor


trialinternational.org
Augusto Pinochet-Ugarte

6 Nov 2012 — The mental state of General Pinochet however was still subject to controversy at the time. 2. Second case: «Operation Condor

Operation Condor (case closed on 17 June 2005)

Acts of torture, abductions, forced disappearances and summary executions were committed during the dictatorship.

The elected government which succeeded Pinochet published, on 4 March 1991, an official report listing 3,197 deaths and 967 disappearances during the 17 years of Pinochet’s presidency.

The National Commission on Political Imprisonment and Torture, set up in August 2003, transmitted to President Ricardo Lagos, on 11 November 2004, a report indicating that torture was practised systematically under the Pinochet regime.

More than 200 criminal complaints were filed against Pinochet in Chile by close relatives of the victims. The proceedings, conducted mainly by Judge Juan Guzman Tapia, were based on two events.


First, the abduction of 75 political opponents followed by the summary execution of 56 of them and the disappearance of 19 others:

these acts were committed by a military unit known by the name of the “Caravan of Death” which criss-crossed the country in the months following the coup d’état.

The second event related to the so-called “Operation Condor”, a quasi network of all the Secret Services of the South-American dictatorships (Argentina, Bolivia, Brazil, Chile, Paraguay and Uruguay) whose purpose was to eliminate political opponents abroad.


The Chilean Secret Service (the DINA), under the command of Manuel Contreras, a close ally of Pinochet, was thought to have played an important, if not fundamental, role in promoting this project.


Manuel Contreras was judged and convicted in Chile. It was during his trial in 1997 that Pinochet’s responsibility as the real head of the DINA became apparent.

READ MORE : Augusto Pinochet-Ugarte - TRIAL International


https://www.latinamericanstudies.org › ...
Operation Condor - LatinAmericanStudies.org

Operation Condor was an intelligence organization in which multinational teams tracked down dissidents outside their home countries, captured and

MATUKIO YA UTEKAJI NA KUTUPWA PORINI TANZANIA, KESI YA KISUTU
1762295923372.jpeg



1762295873285.jpeg



1762295838381.jpeg
 
PROPAGANDA YA UWEPO WA WAGENI, NI MFU NI VYOMBO VYETU NDIYO HAO "WAGENI' AMBAO HATA SAMIA ALIDAI WAPO NCHINI
View attachment 3497343
Katika ulimwengu wa vyombo vya usalama, kujitungia lugha isiyoeleweka na wenyeji siyo jambo geni.

Lakini ni jambo geni hasa pale vyombo vinapotumika kuuwa raia wake ndani ya mipaka ya taifa lao kama ilivyotokea kati ya tarehe 29 Oktoba 2025 na tarehe 02 November 2025 nchini Tanzania

Historia inaonesha wakati wa vita kuu ya dunia World War II taifa la Marekani ilipokuwa inapigana na taifa la Japan, wajapani walikuwa wamejitayarisha kuimanya lugha ya kiEnglish almaarufu Kiingereza. Hivyo operesheni zote za Marekani wajapani walikuwa na uwezo wa kusikiliza na kutumia advantage hiyo kupambana na Jeshi la Marekani

Hivyo kuzuia turufu ya Wajapani kufahamu operesheni za wamarekani, jeshi la Marekani liliamua kutumia lugha ya jamii ya wahindi wekundu wa Marekani katika mawasiliano ili kuzima turufu waliokuwa nayo Wajapani kuelewa operesheni za Jeshi la Marekani.
View attachment 3497337
Kabila hilo dogo la nchini Marekani iliwapa usiri mawasiliano na pia operesheni zao kutofahamika.

Kabila hilo ndani ya Marekani likipatikana Navajo na ndani ya jeshi la Marekani walikuwapo wanajeshi wao waliokuwa wanazungumza lugha hiyo isiyo fahamika kwa Wajapani. Lugha hiyo ilipewa jina Navajo Code Talkers

Sasa turudi nchini Tanzania madai ya kuwepo wageni wanaopiga risasi wageni au wageni kukamatwa ni propaganda za vyombo vya usalama vya Tanzania.

Ambapo vyombo hivi vya usalama walitunga lugha yao ya siri ya kioperesheni ambayo raia wa makabila 120 yaliyopo Tanzania hata yale makabila ya mpakani hawajawahi kuisikia lugha hivyo ya kutunga ya vyombo vya usalama vikiwa vinatekeleza mauaji kwa kutumia maneno yasiyofahamika na waTanzania lakini yanayo toa ufahamu vyombo kushambulia, kukimbia, kurudi nyuma, kuondoka n.k
Tumechoka na magazeti yako
 
Hachomoki Samia, wanahasira naye wadau wa maendeleo walipokaripiwa kutoingilia mambo ya kwake anayoita mambo ya ndani ya nchi huru sovereignty

1762298542107.jpeg
 
Ni watu wa vyombo vya dola serikali ya CCM wakitaka kuwazuga raia, huku msemaji wa Polisi na mkuu wa mkoa Albert Chalamila wakidai nchi imevamiwa na wageni.

Ni wao wenyewe wametunga lugha, maneno machache ya kuwawezesha kufanya operesheni zao kisha kudanganya umma kuna vikosi vya wageni.

Michezo wanayocheza imesha tumika sana mahali pengi na hasa kama nchi na nchi zikiwa zinapiga kijeshi au kijasusi basi hutafuta lugha isiyoeleweka na adui.

Lakini hizi operesheni baada ya maandamano ya kupinga uchaguzi na matokeo yake jeshi na vyombo vinatumia code hizo dhidi ya raia ndani ya taifa lao na siyo dhidi ya jeshi la kigeni au majasusi wa kigeni
Operations za aina hii (dhidi ya raia ndani ya taifa lao) ni usaliti wa hali ya juu sana!
 
04 November 2025

UTAWALA WA TANZANIA WALAUMIWA NA DR MOH IBRAHIM, ASEMA HAUKUBALIKI


View: https://m.youtube.com/watch?v=RmVjnShsIH8
HUKU Samia Suluhu Hassan AKIAPISHA UCHAGUZI WA 2025 DODOMA Tanzania

Tanzania nchi yenye uchumi mkubwa barani Afrika kama vile Kenya Nairobi na Uganda Kampala katika Afrika Mashariki imemfanya Bilionea wa Moh kuhoji mchakato wa Tanzania na nchi za Afrika.

Maandamano ya Tanzania yalikuwa yakitazamwa duniani kote na mauaji yaliyofuata yaliyorekodiwa na kuonesha ukatili wa kinyama usiokubalika
 
UTAWALA WA DONALD TRUMP WAPOKEA FAILI ZITO KUTOKA BARAZA LA SENETI JUU YA UKIUKWAJI MKUBWA WA HAKI YA KUISHI


View: https://m.youtube.com/watch?v=8eAUT4z5EMo

Mbinyo wa wadau kusisitiza rais Samia Suluhu Hassan asitambulike kama rais halali wa Taifa hilo la afrika mashariki huku mataifa Mbalimbali yakiangalia hatua kali za kuchukua ...

Ushahidi mwingi wa picha mjongeo vikionesha vikosi vya kuua waliovalia kiraia wakipita mitaani mchana wanamiminia risasi raia kama vile wanawinda swala nwituni ...
 
Back
Top Bottom