Siri ya siku ya kuzaliwa na kulaaniwa

Siri ya siku ya kuzaliwa na kulaaniwa

Mbunge Luswe

Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
56
Reaction score
23
Salaam Wana Jukwaa.
Niende moja kwa moja kwenye Mada, pengine inaweza toa tafsiri tofauti na ninacho maanisha. Ni hivi,
Kuna Siri gani siku au tarehe ya mtu kuzaliwa na ilaaniwe. Soma Biblia kitabu cha Yeremia na Ayubu. Wote hawa walisema " Na ilaaniwe siku niliyozaliwa" naomba kujua Siri hii. Karibuni sasa.
 
Back
Top Bottom