Codehood
JF-Expert Member
- Dec 9, 2021
- 205
- 439
Hi guys,
Nianze kwa kusema watu hawapo sawa tena tuna tofautiana kwa kiwango kikubwa sana. Akili, Mawazo na Fikra Ulizonazo wewe, mimi na mwengine ni tofauti which led kuwepo kwa matabaka katika jamii It's all connected and none of us can change it.
If you see yourself as a clever one basi know that wengine wanakuona wewe ni mzembe na mvivu na mafanikio yako hayawezi kuwa kama wao.
Mafanikio ya mtu yapo kwenye DNA zake, ndio maana kuna wanaotumia nguvu nyingi ila wanapata Matokeo Madogo na kuna wanaotumia nguvu ndogo but wana archive vitu vikubwa.
You can't beat these kinds of people and you can't be them but angalau utapata unacho stahili for your hard work.
Usilazimishe vitu kama haviendi coz maybe Mazingira hayaruhusu Mafanikio yako hapo due to your DNA.
Badilisha Mazingira instead of Kulazimisha vitu coz I know for the fact kila mtu mafanikio yake yapo sehemu fulani but how do you know that?
You'll know kwa kubadisha unachokifanya au kubadilisha Mazingira and that's it.
It's just a puzzle or something which every one of us needs to figure it out na kama utashindwa kung'amua basi you'll be doomed Forever.
HOW TO CRACK THE CODE?
Loading.....
Nianze kwa kusema watu hawapo sawa tena tuna tofautiana kwa kiwango kikubwa sana. Akili, Mawazo na Fikra Ulizonazo wewe, mimi na mwengine ni tofauti which led kuwepo kwa matabaka katika jamii It's all connected and none of us can change it.
If you see yourself as a clever one basi know that wengine wanakuona wewe ni mzembe na mvivu na mafanikio yako hayawezi kuwa kama wao.
Mafanikio ya mtu yapo kwenye DNA zake, ndio maana kuna wanaotumia nguvu nyingi ila wanapata Matokeo Madogo na kuna wanaotumia nguvu ndogo but wana archive vitu vikubwa.
You can't beat these kinds of people and you can't be them but angalau utapata unacho stahili for your hard work.
Usilazimishe vitu kama haviendi coz maybe Mazingira hayaruhusu Mafanikio yako hapo due to your DNA.
Badilisha Mazingira instead of Kulazimisha vitu coz I know for the fact kila mtu mafanikio yake yapo sehemu fulani but how do you know that?
You'll know kwa kubadisha unachokifanya au kubadilisha Mazingira and that's it.
It's just a puzzle or something which every one of us needs to figure it out na kama utashindwa kung'amua basi you'll be doomed Forever.
HOW TO CRACK THE CODE?
Loading.....