Mkuu,kuna wanawake wamekondeana yaani wanamifupa mitupu...wanawake wa namna hiyo ukimpakata mifupa itakuchoma utafikiri umeshika fance ya miiba (barbed wire)
Pia,kuna wanaume wenzetu huwa wanafanya kazi ngumu sana kama vile kulima,kubeba mizigo mizito kama vile wasukuma...msukuma akimpapasa mwanamke huyo mwanamke anaweza hisi anapapaswa na nondo au tofali la block na atachubuka ngozi mwili mzima!