Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 555
- 661
What make a state or states superpower
Mahali ambapo macho ya Mungu yapo, hapo ndipo panatisha kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii
Angalia mifano ifuatayo:
1. Egypt ilipokuwa superpower enzi hizo ilifikia peak ya uimara wake pale Israel ilipokuwa inaishi huko. Tunakumbuka Yusuph mmoja wa watoto wa Yakobo(Israel) alikuwa waziri mkuu, na Egypt ikaheshimika dunia yote ya wakati huo.
2. Uingereza iliipiga karibu dunia nzima na ikatawala sbb ustaarabu wa maisha ya kumheshimu Mungu yalikuwa kwa kiwango cha juu. They were truly worshipping God of Israel.
3. Ujerumani ilikaribia kutawala dunia nzima katika wakati ambao Wana wa Israel walikuwa kwa idadi kubwa sana Germany, walibugi kuwaua na ikawa mwisho wao. Israelites walikuwa kwenye nafasi nyeti za nchi na kuufanya uchumi wa ujerumani kupaa
4. Nebchadnezer alitawala mashariki ya kati yote na uimara wake ulichangiwa na mateka wa Israel, kati yao vijana Daniel, Shedrack, Meshack, Abednego wakiwa washauri wa Mfalme. Mfalme hakuwa Mu-Israel alikufa akiheshimu Jina la Jehovah.
Mtoto wa Nebkadneza alikosea kunajisi vyombo vya madhabahuni na ikawa mwisho wa huu ufalme.
Persia(Irani ya sasa)waliendelea kuheshimu Taifa la Israel hasa tukimkumbuka Ester na Modekai.
5. Uamsho(Pentekost) umeanzia US, na mara ulipokolea hii nchi ikawa superpower. Dini ya Kikristo duniani ilikuwa inaendeshwa kitaasisi makao makuu yakiwa Italia/Vatcan: uamsho huko USA uka'revive mambo ya Mungu. Na sasa Israelites huko US wameshika nafasi nyeti kuanzia kwenye taasisi kubwa hadi ikulu.
Hofu kuu ni MOJA: kuanza kuitenga Israel kidiplomasia(hasa chama cha democrats) na PILI ni kukumbatia mambo yanayomchukiza Mungu, naomba nisiwe nabii kutamka kwamba haya mambo mawili yakiendelea USA iko ukingoni kudondoka kama super power.
6. Afrika kwa kasi inavyoenda kwa uamsho wa kumkubali Mungu, inaweza na bila shaka kuwa tishio kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani. This is what make a state a super power. Ni pale macho ya Mungu yanapokuwa juu ya Taifa.
Mahali ambapo macho ya Mungu yapo, hapo ndipo panatisha kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii
Angalia mifano ifuatayo:
1. Egypt ilipokuwa superpower enzi hizo ilifikia peak ya uimara wake pale Israel ilipokuwa inaishi huko. Tunakumbuka Yusuph mmoja wa watoto wa Yakobo(Israel) alikuwa waziri mkuu, na Egypt ikaheshimika dunia yote ya wakati huo.
2. Uingereza iliipiga karibu dunia nzima na ikatawala sbb ustaarabu wa maisha ya kumheshimu Mungu yalikuwa kwa kiwango cha juu. They were truly worshipping God of Israel.
3. Ujerumani ilikaribia kutawala dunia nzima katika wakati ambao Wana wa Israel walikuwa kwa idadi kubwa sana Germany, walibugi kuwaua na ikawa mwisho wao. Israelites walikuwa kwenye nafasi nyeti za nchi na kuufanya uchumi wa ujerumani kupaa
4. Nebchadnezer alitawala mashariki ya kati yote na uimara wake ulichangiwa na mateka wa Israel, kati yao vijana Daniel, Shedrack, Meshack, Abednego wakiwa washauri wa Mfalme. Mfalme hakuwa Mu-Israel alikufa akiheshimu Jina la Jehovah.
Mtoto wa Nebkadneza alikosea kunajisi vyombo vya madhabahuni na ikawa mwisho wa huu ufalme.
Persia(Irani ya sasa)waliendelea kuheshimu Taifa la Israel hasa tukimkumbuka Ester na Modekai.
5. Uamsho(Pentekost) umeanzia US, na mara ulipokolea hii nchi ikawa superpower. Dini ya Kikristo duniani ilikuwa inaendeshwa kitaasisi makao makuu yakiwa Italia/Vatcan: uamsho huko USA uka'revive mambo ya Mungu. Na sasa Israelites huko US wameshika nafasi nyeti kuanzia kwenye taasisi kubwa hadi ikulu.
Hofu kuu ni MOJA: kuanza kuitenga Israel kidiplomasia(hasa chama cha democrats) na PILI ni kukumbatia mambo yanayomchukiza Mungu, naomba nisiwe nabii kutamka kwamba haya mambo mawili yakiendelea USA iko ukingoni kudondoka kama super power.
6. Afrika kwa kasi inavyoenda kwa uamsho wa kumkubali Mungu, inaweza na bila shaka kuwa tishio kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani. This is what make a state a super power. Ni pale macho ya Mungu yanapokuwa juu ya Taifa.