Siri ya CHADEMA kuacha kuwatumia Mbowe na Lowassa kutoa matamko ya chama na kumtumia Lissu

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,491
Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa kama katibu, alikuwa anatoa matamko ya chama kwakuwa ilidhaniwa ni MSAFI. Baada ya kuondoka kwake ikawa Mbowe au Lowasa ndio hutoa matamko ya chama.

Kimbembe kikaja wakitoa tamko wanajibiwa na Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao wapo below 35 na hueleza ufisadi wao. Nadhani kitendo hiki cha kujibiwa na watoto kiliwakera wakaona wamtumie TUNDULISU anayedhaniwa ni MSAFI. Je waungwana huyu jamaa ni MSAFI? Nawasilisha.
 
Ukiambiwa ueleze huo unaodai ni ufasadi wa Lowasa na Mbowe utaanza ng'ata ng'ata vidole......Ama hujasikia kuwa mahakama ya mafisadi iligaramiwa kwa kodi zetu mingi sana na sasa inataka kufungwa kwa sababu walivyokuwa wanavikiria wamekuta sivyo kabisa...Wamegundua walijetegea mtego wenyewe...
 
Ukiambiwa ueleze huo unaodai ni ufasadi wa Lowasa na Mbowe utaanza ng'ata ng'ata vidole......Ama hujasikia kuwa mahakama ya mafisadi iligaramiwa kwa kodi zetu mingi sana na sasa inataka kufungwa kwa sababu walivyokuwa wanavikiria wamekuta sivyo kabisa...Wamegundua walijetegea mtego wenyewe...
awelipa hela za NHC?
 
Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa kama katibu, alikuwa anatoa matamko ya chama kwakuwa ilidhaniwa ni MSAFI. Baada ya kuondoka kwake ikawa Mbowe au Lowasa ndio hutoa matamko ya chama.

Kimbembe kikaja wakitoa tamko wanajibiwa na Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao wapo below 35 na hueleza ufisadi wao. Nadhani kitendo hiki cha kujibiwa na watoto kiliwakera wakaona wamtumie TUNDULISU anayedhaniwa ni MSAFI. Je waungwana huyu jamaa ni MSAFI? Nawasilisha.
Unafikiri cdm ni chama cha matamko kama li ccm lenu?
 
Ningekuwa na Chuo Kikuu cha Kwangu ningemwajiri Lissu awe mkuu wa chuo na kumwomba afundishe pia. Huyu ndugu ni hazina kubwa kwa Taifa letu. Cha ajabu watu kama hawa hawapati nafasi ya kulitumikia taifa serikalini badala yake tunapewa akina Makonda! Hii nchi ina nini lakini? Yaani Lissu ataachwa azeeke na maarifa yake eti tu kwa sababu si wa chama cha Hamphrey Polepole! Hii nchi ni yetu sote. Hivi kweli Rais anashindwa kuwajumuisha watu wawili watatu toka upinzani kwenye serikali yake? Jamani kupata kura milioni 8 na wenzako milioni 6 wanakosa hata mwakilishi mmoja serikalini! halafu eti tunataka maendeleo kwa kuwapa nafasi ya uongozi akina Makonda na Gambo ambao kiburi kimewajaa hadi machoni. Mungu tusaidie kama Taifa hatujui tunataka nini hasa.
 
Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa kama katibu, alikuwa anatoa matamko ya chama kwakuwa ilidhaniwa ni MSAFI. Baada ya kuondoka kwake ikawa Mbowe au Lowasa ndio hutoa matamko ya chama.

Kimbembe kikaja wakitoa tamko wanajibiwa na Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao wapo below 35 na hueleza ufisadi wao. Nadhani kitendo hiki cha kujibiwa na watoto kiliwakera wakaona wamtumie TUNDULISU anayedhaniwa ni MSAFI. Je waungwana huyu jamaa ni MSAFI? Nawasilisha.
Umebwabwaja tuu maana wala hujui chochote.
Mh Mbowe ndie aliye toa tamko halafu Mh Lissu akaweka mambo ya kisheria.
Hivi bado mnapewa bk 7?
 
Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa kama katibu, alikuwa anatoa matamko ya chama kwakuwa ilidhaniwa ni MSAFI. Baada ya kuondoka kwake ikawa Mbowe au Lowasa ndio hutoa matamko ya chama.

Kimbembe kikaja wakitoa tamko wanajibiwa na Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao wapo below 35 na hueleza ufisadi wao. Nadhani kitendo hiki cha kujibiwa na watoto kiliwakera wakaona wamtumie TUNDULISU anayedhaniwa ni MSAFI. Je waungwana huyu jamaa ni MSAFI? Nawasilisha.
wasafi wako WCB wakiongozwa na Diamond Platnumz!
 
Ningekuwa na Chuo Kikuu cha Kwangu ningemwajiri Lissu awe mkuu wa chuo na kumwomba afundishe pia. Huyu ndugu ni hazina kubwa kwa Taifa letu. Cha ajabu watu kama hawa hawapati nafasi ya kulitumikia taifa serikalini badala yake tunapewa akina Makonda! Hii nchi ina nini lakini? Yaani Lissu ataachwa azeeke na maarifa yake eti tu kwa sababu si wa chama cha Hamphrey Polepole! Hii nchi ni yetu sote. Hivi kweli Rais anashindwa kuwajumuisha watu wawili watatu toka upinzani kwenye serikali yake? Jamani kupata kura milioni 8 na wenzako milioni 6 wanakosa hata mwakilishi mmoja serikalini! halafu eti tunataka maendeleo kwa kuwapa nafasi ya uongozi akina Makonda na Gambo ambao kiburi kimewajaa hadi machoni. Mungu tusaidie kama Taifa hatujui tunataka nini hasa.
hata mwanamke anaweza akawa mzuri kwako tu kwa mwingine anakuwa kinyago tu, so anaweza akawa mzuri kwako ila serikali haioni hicho unachokiona.
 
Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa kama katibu, alikuwa anatoa matamko ya chama kwakuwa ilidhaniwa ni MSAFI. Baada ya kuondoka kwake ikawa Mbowe au Lowasa ndio hutoa matamko ya chama.

Kimbembe kikaja wakitoa tamko wanajibiwa na Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ambao wapo below 35 na hueleza ufisadi wao. Nadhani kitendo hiki cha kujibiwa na watoto kiliwakera wakaona wamtumie TUNDULISU anayedhaniwa ni MSAFI. Je waungwana huyu jamaa ni MSAFI? Nawasilisha.

CDM ni sawa na sindano ya kristapen inawasha sana pole kwa kuugua gonjwa lililokufanya udungwe kristapen
 
Back
Top Bottom