Siri nzito yafichuka CHADEMA

Nipashe wanaugua ugonjwa gani? Kuna siri gani hapa kama sio kuabisha tasnia ya uandishi wa habari?
Any potilical party inatakiwa ifanye kazi wanayofanya CHADEMA sasa hivi, sasa nini wasichoelewa hawa Nipashe? I am glad sikununua hili gazeti maana ningewafuata kudai hela yangu.
 
huyu mwandishi ameandika siri ambayo yeye mwenyewe haifaham.
 
Kwa ujinga huu nimegoma kununua wala kusoma gazeti la Nipashe kwa wiki hii yote.. Kuondoa hasira..
 
hiv mwandish mpk kutoa habari....huwa inaptiwa na nan na nan??na huwa kwel wa cfaa za kufanya hivyo...??
 
Scrap!

Mimi sioni siri hapo. Kujenga chuki ndio nia hasa na siku zote Dr. Wa ukweli husema hivyo kwamba watawaambia wananchi ubaya wa serikali yao ili waichukie, sasa huyu JUHA aliyehariri hii habari na kuitoa anajiona amevumbua nini kipya hapa cha kutujazia ukurasa na kuuza kwa sh 500?
 
Waandishi wengine bwana sijui hawajaenda shule?inasikitisha kuona mwandishi anaandika vitu hivi napenda kumuuliza hivi ametumwa na nani?
 
Unapokuwa chama mbadala lazima kuchunga sana namna unavyowaandaa wananchi kupokea utawala wako.Ukifanya mambo yasiyo na tija ujue nawe utafanyiwa hivyo hivyo kwenye utawala wako.
 
huu ni ufisadi wa wazi kabisa, yaani ningejua ndo ni huu upuuzi umeandikwa wa mambo yanayosemwa majukwaani huku utitiri wa watu ukishuhudia kuwa ndo siri, wala nisingepoteza muda wangu kusoma hii sredi.. imeniudhii...
 
Nimefurahishwa na hii habari, kutokana na kichwa cha habari hii naamini imepata wasomaji wengi,
wasomaji wameweza kujua kuwa chama wakipendacho kimedhamiria kushika dola. Safi sana!!!
Tuna ichangia CDM ili iweze kufanya hayo yaloandikwa. hongereni sana makamanda!
 
I guess nahitaji miwani ya mbao plz
 
Mm, bado hii ni siri, akiiweka wazi itakuwa si siri tena. Huyu mwandishi alitaka kujaza tu gazeti ili litoke. Kwani huwezi kutoa gazeti ukurasa mmoja ukiwa empty?

tehe tehe tehe..ati ukurasa mmoja ukiwa empty..
 
Persistance!Persistance!Persistance!
GO CDM GO!
Mwandishi kapewa kibahasha kaishia kuandika udaku!kwi kwi kwi!
 
Hii ni siri na kwa maana ya siri anae ijua siri hiyo ni mwenye siri yake, hapa mwandishi aliye taka kuitoa siri yeye kaitangaza na bado ameamua kuificha siri yake na kutufanya tupate tabu kuitafuta siri aliyo ianika kwa siri.
Kumbe Mgeta nae ni walewale wa global publisher.
 
 
Kweli hiyo ni siri nzito,pamoja na kusoma habari yote bado imebaki kuwa siri
 
Ndiyo kazi ya dada joyce mhaville hii,
inaelekea amesahaulika kwenye wakuu wa wilaya
anatafuta namna ya kukumbukwa.
 
Huyu mlevi alikuwa amelala baa ya jirani hapo sinza kwa remi, baada ya kufakamia viroba, ndo anakurupuka na kuandika uharo wake hapa jamvi takatifu 'JF'
 
Kichwa cha habar hakiendan na habar yenyewe. Mwandishi anataka u dc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…