Siri nzito yafichuka CHADEMA

......what do you think that CDM(a reasonable party) can do under this socio-political crisis!!!!
 
Kwanza kabisa inabidi hawa chadema wachunguzwe hizi fedha za kampeni inayoanza mapema hivi wanazitoa wapi? kikijulikana chanzo chao cha fedha, mchezo utakuwa umekwisha. Kuna mengi yamejificha.

Ni kama zile za uamsho mkuu eti....???!!
 
kweli kuna siri kubwa mpaka wasomaji tunashindwa kuiona hiyo siri
 
... Mgeta, hii ndio siri nzito - my foot!! Siri ya mwizi wa twiga za Tanzania kuhamishia Uarabuni utauandikia lini??

Mkuu nilikuwa nimeiona hii thread nilipo ona ni ndeefu nikasema ngoja nile nitulie niisome, kweli itafika mahala tutaacha kusoma magazeti
 
Kwanza kabisa inabidi hawa chadema wachunguzwe hizi fedha za kampeni inayoanza mapema hivi wanazitoa wapi? kikijulikana chanzo chao cha fedha, mchezo utakuwa umekwisha. Kuna mengi yamejificha.

Masikini zomba!
 
hii kweli siri nimesoma zaidi ya mara 5 na sipati kitu duuh hizi shule za kayumba aaaah!
 


Yanibidi nitafute KAMUSI inawezekana SIRI ina maana zaidi ya moja, ntarudi muheshimiwa!!!
 
Mm, bado hii ni siri, akiiweka wazi itakuwa si siri tena. Huyu mwandishi alitaka kujaza tu gazeti ili litoke. Kwani huwezi kutoa gazeti ukurasa mmoja ukiwa empty?
 
Ni kama zile za uamsho mkuu eti....???!!

Uamsho na Chadema hawana tofauti, hujamsikia Sheikh Farid akisema "mpaka kieleweke"? niambie hiyo sio kauli ya chadema?
 
kaka ulitaka kusema siri au serikali au siasa kwa sababu nimeishia kuwa kama wasomaji wenzangu sijapata ona siri mm au nisome tena na tena
 
Kwanza kabisa inabidi hawa chadema wachunguzwe hizi fedha za kampeni inayoanza mapema hivi wanazitoa wapi? kikijulikana chanzo chao cha fedha, mchezo utakuwa umekwisha. Kuna mengi yamejificha.

tunatoa sana michango mkuu, umezoea uwizi wa magamba!
 
Acha kucopy vichwa vya habari vya magazeti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…