Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.
I have never seen a mbwiga with no brain and with two degrees kama zako!Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.
mkuu nakuunga mkono asilimia zote. Msalimie ma Mwende mkuu
cha kwanza ni vizuri sana.wanaofanya kazi vizuri ni vizuri kuwasifia.SASA WEWE UNASOMA HAPO AU?Acha kupiga promo wanaoenda hapo ni wale waliofel yani div 3 na kuendelea.Uliye anzisha huu uzi unataka marumbano ya vyuo wakati hayana tija kwa Tz wakati wasomi wengi na rasilimali zinaibiwa na Wazungu Je kuna haja ya kuwa na wasomi?
Wewe ushawahi ona wapi Tz hii kuna mtu mwenye div 4 form six aliyechaguliwa kujiunga chuo kikuu kwaajili ya degree program??????
Ligi za vyuo zimeanza haya twende kazi c c darius,danp36,METAL,mpigamsuli,perry,
Mmmmmmmmmmhhh!!!
Wewe huna unachojua bora unyamaze.
Ukweli utakao kuumiza najua. Ninaongea nikijuacho na hata hapo Muccobs si mgeni nimeshaenda kuwatembelea rafiki zangu wenye div II,III na IV na kulala pale mara kadhaa. Na tule tu hosteli twenu kama Mabweni ya Machame girls, Mawenzi girls na Weruweru girls nazo mnaita hostel teh.
I have never seen a mbwiga with no brain and with two degrees kama zako!
FYI nimekula mkopo 100% katika fees na 100% M&A
lugha yako mbaya si nzuri.rekebisha mkuuu.angalia maana hujavuka mtombona hukuandika ukweli kuwa hao ma lecturer wamesoma chuo gani??? pili hukusema chuo hiki ndo kinaongoza kuchukua wanafunzi waliofeli zaidi?? mf.div 3 na 4??? chuo gani SENIOR LECTURER anaitwa MR??????? kina Maprofesa wangapi?? hiki chuo ni sifuri tuu kama kilivyo UDOM!!!
Teh hata ualimu ukiwa na div 3 unapata mkopo so acha sifa zako za kijinga utaki acha ila ukweli unaujua Muccobs ni kimbilio la waliochemka na kukosa vyuo walivyovipenda.
hii tabia ya kubambikiza majina ambayo hayahusiki sio nzuri
Ukweli utakao kuumiza najua. Ninaongea nikijuacho na hata hapo Muccobs si mgeni nimeshaenda kuwatembelea rafiki zangu wenye div II,III na IV na kulala pale mara kadhaa. Na tule tu hosteli twenu kama Mabweni ya Machame girls, Mawenzi girls na Weruweru girls nazo mnaita hostel teh.
Kivipi? Majina gani yasohusika?