Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

mm si mwanafunzi wa hapo ..
Ni mjasriamali nilifanya tafiti hiyo kujihakikishia ukweli wa hoja ziibukazo juu ya sifa nzuri ya chuo hicho.
Naweza kumshauri ndugu yangu kujiunga na chuo hicho sasa baada ya kujihakikishia mm binafsi.

Hebu tuwekee huo utafiti hapa kwani inawezekana akili zako ni zilezile
 
Muanzisha uzi kweli umechimba vya kutosha miye nimesoma pale shahada yangu ya kwanza na naomba ni sadiki yote uliyoyasema ni sahihi na cha kuongezea tu mitihani ya kozi ya ugavi na ununuzi pamoja uhasibu na usimamizi wa fedha inapitia bodi husika hivyo kuongeza ubora wa mitihani, vile vile mbinu nzuri za ufundishaji zinazotumiwa na wahadhiri za kutoa mazoezi ya kutosha, kuwapo kwa presentation nyingi na umakini katika usahihishaji wa mitihani.
Ambapo wahitimu hupata GPA kulingana na uwezo tofauti na vyuo vingine ndo vimechangia sana product zinatoka Muccobs kuuzika sana sokoni
 
Kuna jamaa kamaliza hapo toka 2009 kozi ya procurement,ila mpaka leo hajawahi kuitwa hata kwenye interview.
 
mbona hukuandika ukweli kuwa hao ma lecturer wamesoma chuo gani??? pili hukusema chuo hiki ndo kinaongoza kuchukua wanafunzi waliofeli zaidi?? mf.div 3 na 4??? chuo gani SENIOR LECTURER anaitwa MR??????? kina Maprofesa wangapi?? hiki chuo ni sifuri tuu kama kilivyo UDOM!!!
 
Acha promo mkuu kwanz mm cji ng'o kusoma hapo napiga CBE hapa
poa man endelea kila mtu na choice ila mwishoni ndo huwa tofauti inapojitokeza pale unapotoka kwenye dreams na kuingia dunia ya labours!
 
Hata Mzumbe ni 50 acha sifa za kijinga wewe chuo chenyewe wanaosoma 70% hawana boom sababu ya div III na IV 20% div II na 10% div I.
mbona hatukutaja chuo chako unaumia hivyo? unaweza kututajia nasi tuweze kukicheck ili nasi tuone how much you worth?
kingine acha matusi, msela nini?
 
NYIE WATOTO MTAKUWA LINI JAMANI??? kila siku nasema msiangalie chuo angalia hiyo elimu uliyopata inakusaidia nini katika maisha yako? je imekidhi mahitaji yako?
 
Sioni kama kuna ulazima wa kuanza kubishana kuhusu vyuo au aina ya intake ya chuo.

Mleta mada ameitoa kwa mfumo wa prom ambapo amezungumzia ubora wa chuo chao katika kutoa elim na wahitim.

So unapo argue ilikuwa ni vema kuzungumzia ubora wao kazini na elim inayo tolewa chuoni hapo.


Baadhi ya watu mnasema intake yao ni mbovu kwa kuchukua III and IV, inaweza ikawa fact but its not strong, kwa sababu, mtu mbovu nnakwambia hawezi maliza semester 6 zote (unless kuwe na carry) bila disco.

Halafu kila stage ya elimu kwa hapa Tz inajitegemea, yaani ukipata one form four si lazima upate one form six, kuna watu walipata one form four, six wakapata zero/III.


Aina ya intake its not an issue, jaribuni kuangalia ubora wa elimu wanayo itoa chuoni na uwajibikaji wao wakiwa kazini.
 
mbona hatukutaja chuo chako unaumia hivyo? unaweza kututajia nasi tuweze kukicheck ili nasi tuone how much you worth?
kingine acha matusi, msela nini?

Acha uoga tusi gani lipo hapo. Kwani uongo mbona lipo wazi Muccobs wanachukua div 3 na 4 na bahati mbaya 1st na 2nd Degree sijachukua Mzumbe.
 
Hivi, haiwezekani kuandika vizuri kwa herufi ndogo na kubwa ili kuyapa uvutivu wa kusoma mawazo yako. Bila shaka haya ni matokeo ya kuvushwa madarasa. Kuandika kwa herufi kubwa na ndogo katika sentensi si ni masomo ya darasa la pili....!

Sikuyasoma mawazo yako sababu hayavutii.

 

Wewe ushawahi ona wapi Tz hii kuna mtu mwenye div 4 form six aliyechaguliwa kujiunga chuo kikuu kwaajili ya degree program??????
 
Acha uoga tusi gani lipo hapo. Kwani uongo mbona lipo wazi Muccobs wanachukua div 3 na 4 na bahati mbaya 1st na 2nd Degree sijachukua Mzumbe.
Hao wa 3 na 4 wanaenda kusomea level gani au unapayuka tu?

Na hapo kwenye red umemaanisha nn? embu andika vizuri ueleweke, maana haueleweki umezisomea Mzumbe ama na kama sio umechukulia wapi?

Na degree mbili inamaana hukuwa na uhakika na degree hiyo ya kwanza kukutoa? au ya pili ni ya nyuki? maana siku hizi mtu anakuambia ana degree mbili kumbe moja ni ya ufugaji wa nyuki ambayo buyer wa labour ni Tanapa peke yake au ajinunue mwenyewe.
 
hivi we umeona suala la ratiba kuanzia saa 8:00asubh hadi 7:30jion ndo usirias wenyewe kweli? mbona kuna vyuo ratiba inaanza saa 7:00asubuh hadi 8:00usiku, hebu uliza UDSM ratiba inaanza saa ngapi na kuisha saa ngapi...na kama ni hao maprofesa na madokta UDSM ndo wamejaa tele....otherwise sema tu kwamba unapiga promo..,
 

Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…