Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.
Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.
CCM ni Joka.... by JK
Una uhakika?
Kama wewe siyo mwana CCM Unatafuta nini kwenye website ya CCM? Hauna hoja
Nimekuwa nafuatilia masuala ya CCM ni kwanini viongozi wake wengi wanakumbwa na tuhuma za ufisadi??? Nimeingia kwenye website yao nimesoma masharti ya uanachama ndani ya CCM ni pamoja na kuwa "mbu". Moja ya masharti ya uanachama CCM inasomeka hivi:
Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.
Kwa uelewa wangu mtu mwenye tabia za mbu ni mnyonyaji na hafai katika jamii hivyo, huenda wanachama wake wanatimiza hili sharti.
Aleast sasa sitoweza kumlaumu Lowasa, Rostam wala Kalamagi ila CCM yenyewe ibadilishe masharti yake.
Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM
Kama wewe siyo mwana CCM Unatafuta nini kwenye website ya CCM? Hauna hoja
Angalia ndugu yangu huenda hawakumaanisha unavyotaka kumaanisha
Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.
Mkuu nimeingia humo kwenye iyo website, ni kweli mbu imeandikwa but ukisoma vizuri utaona kuwa ni typing error. Ingekuwa wana maanisha hivyo, neno mbu lingetumika hata kwenye sentensi ya mwazo ya paragraph. CCM siwapendi kabisaaa but atleast haki yao nawapa pale wanapostaili.
(Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.)
Kuwa mtu anayependa kushirikiana na wenzake. Kuwa mbu ambaye siku zote yuko mstari wa mbele katika utekelezaji wa mambo yote ya umma, kulingana na miongozo ya CCM.
Source:Chama Cha Mapinduzi - CCM
Ina maana hiyo webisite ni kwa wana CCM tu?
Kama wewe siyo mwana CCM Unatafuta nini kwenye website ya CCM? Hauna hoja
Wakuu.Yaani niwe mbu?? Haiwezekani
Nadhani walitaka kumaanisha mbunifu!
Anyways ninapenda sana kuchek hizo typing errors LAKINI kama hiyo ni typing error basi kiboko:Wakuu.
Wewe na mleta mada,hapa mumekusudia kuchekesha watu na kuwaudhi baadhi.
Ukisoma kwa kutulia hiyo sentensi basi ni typo error....mbu...mtu.
Tumechekeka kidogo. Wenyewe wataliona kosa na webmaster wao atarekebisha.
Vizuri umewafikishia ujumbe.