Sipendwi na wanawake

Sipendwi na wanawake

Handsome pesa baba..jidanganye hivyo hivyo!

Halafu uache ushamba..you are a Leo! born on August 17th...maswala ya kupiga picha na mapozi ya mbuta nanga uyapunguze!

we love to be loved (Leos) nadhani ndicho kinacho kusumbua!

kwabahati nzuri tumezaliwa wote August..ila mm 15. .same year! sema umesoma ushambani huko Pomerin Iringa! ahahh
 
Fanya kwanza mtihani wa lasaba ukifika form one uje utupe mrejesho mtoto mzuri
 
Mshukuru Mungu umeepukana na mengi, kupendwa na wanawake haikutajwa popote kwenye vitabu kama ni sifa ambayo mwanamme anastahili awe nayo. Kama huna mapungufu yoyote tafuta mke uoe ndie anae stahili akupende. Wala usijitie harama kwamba lazima upendwe ukifika muda wako watakupenda lakini sio kwa njia iyo unayoitaka wewe sasa ivi ya kufanya zinaa.
 
1 pesa
2 pesa
3 pesa

100000 pesa.
KWA MWANAMKE INAANZA PESA SHEIKH.
UNAFATIA UHAND SOME.
 
Hodi humu ndani,

Sijui ninakasumba gani mimi, nimahiri kwenye kutongoza lakini kukataliwa ni suala la kawaida sana japo kuwa mimi ni kijana handsome na mwenye sifa zote.


Ewe mwanamme wa Dar, picha inahusu hapa vinginevyo hatutakuelewa.
 
Hodi humu ndani,

Sijui ninakasumba gani mimi, nimahiri kwenye kutongoza lakini kukataliwa ni suala la kawaida sana japo kuwa mimi ni kijana handsome na mwenye sifa zote.
Vp umetongoza wangapi wamekukatalia?
Kwa Dunia ya sasa bora ukataliwe tu
Vp unapesa?
Kama hela huna watoto wazuri utawaita shemeji
Na ukikataliwa na wanawake wawili jua una nuksi
Pole bana
 
Hodi humu ndani,

Sijui ninakasumba gani mimi, nimahiri kwenye kutongoza lakini kukataliwa ni suala la kawaida sana japo kuwa mimi ni kijana handsome na mwenye sifa zote.
nenda mkoa wa singida au mtwara na hapo ukishindwa basi tena
 
Vp umetongoza wangapi wamekukatalia?
Kwa Dunia ya sasa bora ukataliwe tu
Vp unapesa?
Kama hela huna watoto wazuri utawaita shemeji
Na ukikataliwa na wanawake wawili jua una nuksi
Pole bana
Poa bana
 
f60af7a44b9d98c65a5e76e25cd20164.jpg


Wasiojua maana ya handsome sasa naamini mmejua
 
Handsome pesa baba..jidanganye hivyo hivyo!

Halafu uache ushamba..you are a Leo! born on August 17th...maswala ya kupiga picha na mapozi ya mbuta nanga uyapunguze!

we love to be loved (Leos) nadhani ndicho kinacho kusumbua!

kwabahati nzuri tumezaliwa wote August..ila mm 15. .same year! sema umesoma ushambani huko Pomerin Iringa! ahahh


kwi kwi
 
I mean Kama utaona umekomaa (matured enough) kuweza kuishi na Mke basi itapendeza ukiamua kuoa!
 
Back
Top Bottom