.Sipendi watu wanaoshabikia vitu visivyo kuwa na faida kwake na kwa jamii kwa ujumla mfano mtu kushabikia vifo vya watu
Sipendi watu wajuaji hasa humu JF.. una kuta mtu anampangia mwenzie kitu cha kufanya wakati hata hajaombwa kumpangia..
Sipendi watu wanaochukia au wanaotenga wenzao kwa sababu ya dini, kabila, elimu nk.
Tena sipendi watu wanaoziona dini zao ni bora kuluko za wengine.. pumba....vu zaooo