Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,881
- 225,780
hahah. kweli dada angu hizi internet slang huwa ukikutana nayo mara ya kwanza lazma isumbue
nakumbuka kipindi cha "tbt" ndiyo imeingia mimi nilifikiri inamaanisha tabata sasa nikawa najiuliza tuseme tabata pamekuwa maarufu hivi hadi kila mtu anapost yupo tabata....
nilivyoona hadi watu wa mbele wanatumia ndio nikagoogle
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke mwenye akil haangalii alichonacho (tangible) mtu kwa muda huo
Bali anaangalia ana akil gan ya future
Possible nancy hakuliona hilo kwa mb dogy
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay. Why do you hate her?
There must be something ugly that she did and it did not please you.
Or you just hate her free of charge? Lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?Nimecheka mpaka machozi,asante Kwa Picha maana nilikua namuwaza Soggy Doggy!
Nadhani ww kazia tu hapo kwenye kujielewa kwake hayo ya uzuri kila mmoja ana definition yake.
Nimekutana na Nancy kama miaka mwil ilopita pale NMB hq mpya karib na Srena hotel aisee, trust me kwanza hata sikuweza kumjua kama ni yeye.Uzuri nilokua namuona nao kwenye tv na ule urefu wake aisee ni tofauti kabisaa nilivyomuona.tofauti sanaa.Sio m baya actually lakin ni wa kawaida tu.Kawaida.
Lakin nakubal yule dada alikua anajielewa sana nadhan hata kind of company anayojichanganya nayo pia ni cream brains tofauti na hawa masapwala wengine akina wema.
Kabisaa mkuu.Umenikumbusha pia kama miaka 5 hiv nilikutanaga na Jokate pale IFM kiukwel nilichiweza ku notice ni kwamba huyu dada kama namfaham lakin sikuweza kujua exactly mpaka baada ya kuvuta sana kumbukumbu.Ila pia alikua wakaiwada sana hata kwa kumlinganisha na watoto wa pale chuo.Sio m aya lakin hawapo kama hiv wanavyokuzwa aua wanavyojikuza
kwa sasa hawa ni wanandoa na siyo wachumba.... wakishafunga ndoa muda tuuView attachment 1046441
Nancy Sumari na mchumba wake Luca Neghesti
Sophia mzuri hata ana kwa ana
View attachment 1046329
Sipati picha sasa hivi wangekuwa wapo uswazi kwao mitaa ya mabibo, Nancy mwenyekiti wa vicoba pande hizo.
Mb dog n soba boy hatumii kilevi chochoteMdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?View attachment 1046445
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia hapo full kunuka mibange.
Tuambie uzuri wakeJokate wa kawaida?!!!!
Siyo mzuri!
Mnahadaika sana na mawigi na weupe wa vidonge!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu enzi hizo mtoto sumari katoka Maasai Girls Nairobi. Kaka mkubwa akitokea mitaa ya manzese na mabibo kwa mapozi haya angefanikiwa kumng'oa kweli?View attachment 1046445
Hahaha mbona wenzake kati ya wale pingu na deso,..deso alifanikiwa ku gtaduate IFM- Risk management? Ye alishindwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizingatia hapo full kunuka mibange.
si ajiunge kanisa la freemason apo makuburi ambako kanisa lina walinzi na geti apoJamaa tupo naye mitaa ya makuburi jirani na kanisa la roma tuna kula nae ugali kwa mchicha kwa mama ntilie, naamini na Nancy tungekuwa nae mitaa hii na wala usingemwona huko ulipo muona
Tuambie uzuri wake
From profile picture to proper future
Umekuja juu juu ukitaka Ku force kila MTU amuone jokate n mzuri,nimekuambia ,tuambie uzuri wake ..umeshindwa
Umekuja juu juu ukitaka Ku force kila MTU amuone jokate n mzuri,nimekuambia ,tuambie uzuri wake ..umeshindwa
From profile picture to proper future
Umeshindwa kutuambia huo uzuri .wa jokate ....Juu juu obvious umezoea kelele ndiyo maan hiyo imekuwa observation yako ya kwanza
Nilikua nauliza wala sijakuja juu kuu kama ulivyowaza wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app